Zinaonekana ishara za Kenya kuwa nchi inayobadilika
>Nyakati zimebadilika. Ishara zilizotanda na kugubika anga za siasa katika Kenya zinaashiria jambo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Utouh: Dalili za nchi kutotawalika zinaonekana
Aliyekuwa Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh amesema mihimili mitatu ya nchi ambayo ni Bunge, Mahakama na Serikali isipofanya kazi bila kuangalia mipaka yao kwa mujibu wa sheria nchi haitatawalika.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hlqj74NT58U/VZFC3dr_CbI/AAAAAAAHllI/e32gFevTI_A/s72-c/images.jpg)
DK. ALI MOHAMED SHEIN AMESEMA KUWA KENYA NA TANZANIA NI NCHI ZENYE UHUSIANO WA MUDA MREFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-hlqj74NT58U/VZFC3dr_CbI/AAAAAAAHllI/e32gFevTI_A/s1600/images.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu za kuendelea kuimarisha na kuitekeleza Sera ya Demokrasia ya Uchumi kwa manufaa ya pande mbili hizo.
Dk. Shein...
11 years ago
Mwananchi25 Jun
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kwa ishara hizi umefika mwisho wa CCM kuwa madarakani
>Wahenga walisema, ‘kila kitu chenye mwanzo pia kina mwisho wake.’ Usemi huu una ukweli ndani yake ingawa katika baadhi ya nyakati unapuuzwa na watu hasa wenye upeo mdogo wa kufikiri au wale waliochanganyikiwa.
9 years ago
Bongo513 Oct
Vanessa Mdee: Tuzo niliyoshinda AFRIMMA ni ishara kwa wasanii wa nje kuwa waniangalie na kuniheshimu
Vanessa Mdee amesema kuwa tuzo aliyoshinda AFRIMMA ya ‘Best Female East Africa’ huko Dallas, Marekeni weekend iliyopita ina maana kubwa sana kwake kwasababu imefungua ukurasa mpya katika muziki wake. Vee Money ambaye kwa mara ya kwanza tulimshuhudia akiibuka na tuzo ya AFRIMA mwaka jana huko Nigeria ikiwa ndio ya kwanza kimataifa, amesema tuzo aliyoshinda sasa […]
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Dalili za ushindi dhidi ya Ukimwi sasa zinaonekana
Tangu ulipogunduliwa kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1980, Ukimwi umeendelea kuwa miongoni mwa magonjwa yanayosumbua wataalamu wa sayansi ya tiba na watafiti wa magonjwa ya binadamu kwa muda mrefu
10 years ago
VijimamboTANZANIA YAJIPANGA KUWA NCHI YA VIWANDA
Na Saidi Mkabakuli
Serikali imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka wa fedha 206/2017 ili kuongeza kasi ya kufikia lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo imedhamiria kuifikisha Tanzania kuwa nchi yenye hadhi ya kipato cha kati na kuondokana na umaskini kufikia mwaka 2025.
Akizungumza wakati wa kuwakaribisha Ugeni kutoka Tume ya Mipango na Maendeleo ya China, Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi, Bw. Paul...
Serikali imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka wa fedha 206/2017 ili kuongeza kasi ya kufikia lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo imedhamiria kuifikisha Tanzania kuwa nchi yenye hadhi ya kipato cha kati na kuondokana na umaskini kufikia mwaka 2025.
Akizungumza wakati wa kuwakaribisha Ugeni kutoka Tume ya Mipango na Maendeleo ya China, Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi, Bw. Paul...
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Mukandala ataka nchi za Afrika kuwa wamoja
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rweikaza Mukandala, amesema bila kujenga umoja wa kweli katika nchi za Afrika machafuko na migogoro ya kisiasa itaendelea kila kukicha. Mukandala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YZAU4AT-598/XvHhPC8YrdI/AAAAAAALvDo/tDztKVOxGgsVwzIppapWtnLHB0gohuK9gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200623-WA0032.jpg)
MAGUFULI ALICHELEWA KUWA RAIS WA NCHI- MASAUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YZAU4AT-598/XvHhPC8YrdI/AAAAAAALvDo/tDztKVOxGgsVwzIppapWtnLHB0gohuK9gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0032.jpg)
Masauda akizungumza jana mjini Babati alisema Rais Magufuli ameirudisha Tanzania katika misingi bora hasa CCM kwani hata usipokuwa na fedha unaweza kugombea uongozi.
Alisema kutokana na Rais Magufuli kuirudisha...
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Jammeh atangaza Gambia kuwa nchi ya Kiislamu
Rais wa Gambia Yahya Jammeh ametangaza taifa hilo lenye Waislamu wengi kuwa jamhuri ya Kiislamu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania