Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zinaonekana ishara za Kenya kuwa nchi inayobadilika

>Nyakati zimebadilika.  Ishara zilizotanda na kugubika anga za siasa katika Kenya zinaashiria jambo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utouh: Dalili za nchi kutotawalika zinaonekana

Aliyekuwa Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh amesema mihimili mitatu ya nchi ambayo ni Bunge, Mahakama na Serikali isipofanya kazi bila kuangalia mipaka yao kwa mujibu wa sheria nchi haitatawalika.

 

10 years ago

Michuzi

DK. ALI MOHAMED SHEIN AMESEMA KUWA KENYA NA TANZANIA NI NCHI ZENYE UHUSIANO WA MUDA MREFU


  STATE HOUSE ZANZIBAROFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE   Zanzibar                                                                                                           29.06.2015
RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu za kuendelea kuimarisha na kuitekeleza Sera ya Demokrasia ya Uchumi  kwa manufaa ya pande mbili hizo.
Dk. Shein...

 

11 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kwa ishara hizi umefika mwisho wa CCM kuwa madarakani

>Wahenga walisema, ‘kila kitu  chenye mwanzo pia kina mwisho wake.’ Usemi huu una ukweli ndani yake ingawa katika baadhi ya nyakati  unapuuzwa na watu hasa wenye upeo  mdogo wa kufikiri au wale waliochanganyikiwa.

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee: Tuzo niliyoshinda AFRIMMA ni ishara kwa wasanii wa nje kuwa waniangalie na kuniheshimu

Vanessa Mdee amesema kuwa tuzo aliyoshinda AFRIMMA ya ‘Best Female East Africa’ huko Dallas, Marekeni weekend iliyopita ina maana kubwa sana kwake kwasababu imefungua ukurasa mpya katika muziki wake. Vee Money ambaye kwa mara ya kwanza tulimshuhudia akiibuka na tuzo ya AFRIMA mwaka jana huko Nigeria ikiwa ndio ya kwanza kimataifa, amesema tuzo aliyoshinda sasa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Dalili za ushindi dhidi ya Ukimwi sasa zinaonekana

Tangu ulipogunduliwa kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1980, Ukimwi umeendelea kuwa miongoni mwa magonjwa yanayosumbua wataalamu wa sayansi ya tiba na watafiti wa magonjwa ya binadamu kwa muda mrefu

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAJIPANGA KUWA NCHI YA VIWANDA

Na Saidi Mkabakuli
Serikali imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka wa fedha 206/2017 ili kuongeza kasi ya kufikia lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo imedhamiria kuifikisha Tanzania kuwa nchi yenye hadhi ya kipato cha kati na kuondokana na umaskini kufikia mwaka 2025.

Akizungumza wakati wa kuwakaribisha Ugeni kutoka Tume ya Mipango na Maendeleo ya China, Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi, Bw. Paul...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mukandala ataka nchi za Afrika kuwa wamoja

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rweikaza Mukandala, amesema bila kujenga umoja wa kweli katika nchi za Afrika machafuko na migogoro ya kisiasa itaendelea kila kukicha. Mukandala...

 

5 years ago

Michuzi

MAGUFULI ALICHELEWA KUWA RAIS WA NCHI- MASAUDA

Na Mwandishi wetu, BabatiALIYEKUWA mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa wa Mjini Babati Mkoani Manyara, Cosmas Bura Masauda amesema Rais John Magufuli alichelewa kuwa Rais wa Tanzania kwani amerudisha nchi kwenye misingi iliyoachwa na Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere. 
Masauda akizungumza jana mjini Babati alisema Rais Magufuli ameirudisha Tanzania katika misingi bora hasa CCM kwani hata usipokuwa na fedha unaweza kugombea uongozi. 
Alisema kutokana na Rais Magufuli kuirudisha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Jammeh atangaza Gambia kuwa nchi ya Kiislamu

Rais wa Gambia Yahya Jammeh ametangaza taifa hilo lenye Waislamu wengi kuwa jamhuri ya Kiislamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani