MIHIMILI MITATU ISIPOELEWANA NCHI HAIWEZI KUTAWALIKA - UTOUH
![](http://2.bp.blogspot.com/-aEnrGp_ipL0/VJf6MB_FRjI/AAAAAAAG5BM/lCEb_BJWKFU/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-22%2Bat%2B2.00.48%2BPM.png)
Na Bakari Issa,Dar es Salaam
ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG),Ludovick Utouh amesema mihimili mitatu iwekewe mipaka na kuangalia isiingiliane katika utendaji wake wa kazi kuruhusu kwake kuingiliana ni kufanya serikali isitawalike.
Hayo amesema leo jijini Dar es Salaam katika kupokea tuzo ya uadilifu kutoka kwa Kampuni ya Dream Success Enterprises kutokana na kutambua umuhimu wa utendaji wake wa kazi.
Alisema kuwa mihimili mitatu isipojua mipaka yake itawaweka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Lipumba agonganisha mihimili yote ya nchi
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Utouh: Dalili za nchi kutotawalika zinaonekana
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Kigoda: Nchi haiwezi kuendelea bila wawekezaji
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda, amesema Tanzania haiwezi kuendelea bila wawekezaji katika sekta ya viwanda. Amesema kutokana na serikali kulitambua hilo, ndiyo sababu wizara yake inaendelea kuhakikisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E13a4vfj-mM/XsD0VJlshmI/AAAAAAALqiI/3PJIu0xV5NUyPMEEX1evQ0DqRVbpO8eswCLcBGAsYHQ/s72-c/e342cfad-ff15-455d-ad5a-294d1afe3faa.jpg)
FIHIR NVUBGI; HUYU NDIYE DIWANI ALIYEANZA KUONGOZA KATA YA MSANGENI MIAKA MITATU BAADA YA NCHI TANZANIA KUPATA UHURU HADI LEO
Charles James, Michuzi TV
JINA lake ni Fihir Mvungi, umri wake ni miaka 80. Ameongoza kwa miaka 55 kama Diwani wa Kata ya Msangeni iliyopo wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Ndio. Unaweza kusema Mvungi ndiye kiongozi wa kuchaguliwa ambaye amehudumu kwenye nafasi yake kwa muda mrefu bila kung'atuka wala kuondolewa na wananchi.
Katika mahojiano maalum ambayo amefanya na Michuzi...
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Mgongano huu wa mihimili ni hatari
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Wananchi wanapopoteza imani na mihimili ya dola — (2)
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Kifanyike nini mihimili ya dola inapokinzana?
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Ulevi na uvutaji ndiyo mihimili ya uchumi wetu?
NIMEJIWA na wazo kwamba neno la tahadhari kwenye sigara na matangazo ya bidhaa hiyo lisemalo “uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako” ni la kuondoa kabisa. Sababu kwa maana...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Utouh awalipua wabunge
ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema baadhi ya wabunge hawazijui sheria walizozitunga na hivyo kujikuta wakitoa maamuzi ambayo hupingana na sheria hizo.