Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba agonganisha mihimili yote ya nchi

Mjadala kuhusu sakata la polisi kumpiga na kumtia mbaroni Profesa Ibrahim Lipumba jana ulikuwa mkali, lakini uliweka bayana kugongana kwa mihimili mitatu ya nchi baada ya Bunge kujadili suala hilo wakati likiwa limeshafika mahakamani

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MIHIMILI MITATU ISIPOELEWANA NCHI HAIWEZI KUTAWALIKA - UTOUH

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG),Ludovick Utouh amesema mihimili mitatu iwekewe mipaka na kuangalia isiingiliane katika utendaji wake wa kazi kuruhusu kwake kuingiliana ni kufanya serikali isitawalike.
Hayo amesema leo jijini Dar es Salaam katika kupokea tuzo ya uadilifu kutoka kwa Kampuni ya Dream  Success Enterprises kutokana na kutambua umuhimu wa utendaji wake wa kazi.
Alisema kuwa mihimili mitatu isipojua mipaka yake itawaweka...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani?

. Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha “kiulinzi” kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu. Serikali imeweka majesho yote kwenye Red alert, polisi wamekabidhiwa magari […]

The post Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

Mgomo mzito wanukia. Mabasi yote ya abiria yapanga kugoma nchi nzima.



Siku 17 baada ya madereva wa mabasi mchini kugoma na kutikisa nchi, Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo mikoani (Taboa) kimetangaza mgomo mwingine nchi nzima.

Mgomo wa Aprili 9, mwaka huu uliodumu kuanzia alfajiri hadi saa 7:00 mchana ulitikisa nchi na kuwaathiri abiria wengi waliokuwa wanasafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.

Jana Taboa walitangaza kusitisha utoaji huduma kuanzia kesho ikiwa ni hatua ya kupinga nauli mpya za mabasi zilizotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi...

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika 10 za Prof. Lipumba kuhusu Znz na mengine ya nchi.

December 30 2015 Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mwenyekiti mstaafu wa chama cha Wananchi C.U.F aliyasema haya hapa chini mbele ya Waandishi wa habari Dar es salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea […]

The post Dakika 10 za Prof. Lipumba kuhusu Znz na mengine ya nchi. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgongano huu wa mihimili ni hatari

Wiki hii tumeshuhudia mgongano wa mihimili mitatu ya nchi uliotokana na kitendo cha Jeshi la Polisi kumpeleka mahakamani mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wa chama hicho kwa madai ya kupanga njama za kukusanyika na baadaye kukusanyika na kufanya mkutano wa hadhara bila ya kibali.

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wanapopoteza imani na mihimili ya dola — (2)

Jumapili iliyopita niligusia dhana ya wananchi kupoteza imani na mihimili ya dola. Niliigusa mihimili ya Mahakama na Bunge. Nilianza kueleza kuhusu Bunge na niliahidi kuendelea katika makala ya leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kifanyike nini mihimili ya dola inapokinzana?

Tumeshuhudia kwa mara ya kwanza tangu nchi yetu ipate uhuru mwaka 1961, mihimili ya dola, yaani Mahakama, Bunge na Serikali ikigongana na kukinzana katika suala muhimu la kitaifa, huku ikiibua mashaka kuhusu tafsiri ya dhana ya mgawanyo wa madaraka miongoni mwa mihimili hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.


MAYOR WA MJI WA BLADENSBURG KUHUTUBIA, MABALOZI WA NCHI ZA AFRICA MASHARIKI WATAKUWEPO,FREE BOAT RIDE KUZUNGUKA MTO, MICHEZO YA WATOTO, UTAMADUNI WA AFRIKA MASHARIKI,VENDORS,CHAKULA CHA AFRIKA MASHARIKI KUTOKA SAFARI RESTAURANT DC, VINYWAJI BARIDI VYOTE VINAPATIKANA:                                               HAKUNA KIINGILIO NI BUREEE!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani