Uturuki, Tanzania kujenga kijiji cha albino 500
UBALOZI wa Uturuki kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania, wana mpango wa kujenga kijiji nchini kwa ajili ya kutunza albino wapatao 500. Ujenzi wa kijiji hicho unakadiriwa kugharimu dola za kimarekani milioni tano sawa na Sh bilioni 8.2.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Uturuki kujenga kituo cha albino
SERIKALI ya Tanzania imesaini mkataba na Serikali ya Uturuki ya ujenzi wa kituo kikubwa cha kuhudumia wenye ulemavu wa ngozi (albino) ambacho kitakuwa na hospitali na shule. Akizungumza jijini Dar...
10 years ago
Mtanzania04 Mar
Uturuki kujenga kituo cha Albino nchini
Patricia Kimelemeta na Asifiwe George, Dar es Salaam
TANZANIA kwa kushirikiana na Uturuki inatarajia kujenga kituo kikubwa cha albino ambacho kitakuwa na huduma mbalimbali muhimu ikiwamo shule na afya.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alisema kituo hicho kitawasaidia albino kupata huduma muhimu wakiwa kwenye mikono salama.
Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kumalizika kikao cha ndani cha mabalozi na wawakilishi wa nchi...
10 years ago
Habarileo31 Oct
NSSF kujenga kijiji cha Bunge
SHIRIKA la Hifadhi ya Jamii (NSSF) inakamilisha mchakato wa kuanza ujenzi wa kijiji cha Bunge mjini Dodoma na upanuzi wa ofisi ndogo ya Bunge Dar es Salaam.
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Unesco, Samsung kujenga kijiji cha digitali Ololosokwan
Mwakilishi mkazi shirika la UNESCO nchini Bi. Zulmira Rodrigues na Mkurugenzi wa Samsung Electronics nchini Tanzania, Bw. Mike Seo wakibadilishana nyaraka za makubaliano hayo yaliyofanyika ofisi za UNESCO.
Na Mwandishi wetu
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limetiliana saini mkataba na kampuni ya elektroniki ya Samsung ya ujenzi wa kijiji cha digitali cha Ololosokwan, Loliondo.
Makubaliano hayo yalitiwa saini hivi karibuni kati ya Mwakilishi mkazi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0062.jpg)
UNESCO, SAMSUNG KUJENGA KIJIJI CHA DIGITALI OLOLOSOKWAN
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA UVINZA ASHIRIKIANA NA WANANCHI KUJENGA ZAHANATI YA KISASA KIJIJI CHA MAZUNGWE MKOANI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Plu8Z8QFAY/VnpIizIBY5I/AAAAAAADEGg/b63fPS7KUQQ/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-27OGa9R2Z74/VnpIiiJzgbI/AAAAAAADEGc/du-amjLJkxU/s640/C.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kfEga51sJjA/VnpIjd_HcLI/AAAAAAADEGk/NkxfvJZKFpQ/s640/E.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qhfGSau2jh8/U_ch_Q-LWUI/AAAAAAABsrE/eU0DgJy4TyI/s72-c/IMG_6760.jpg)
WANANCHI KIJIJI CHA MADINDO MLANGALI WASHIRIKIANA NA MBUNGE NA DIWANI WAO KUJENGA MRADI WA MAJI WA MILIONI 15
![](http://2.bp.blogspot.com/-qhfGSau2jh8/U_ch_Q-LWUI/AAAAAAABsrE/eU0DgJy4TyI/s1600/IMG_6760.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FHpqGfJy3-w/U_b6RbhyuvI/AAAAAAABskU/UP5OtlKAoT8/s640/IMG_6835.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCMHb01tmsk/U_b8ghKfHDI/AAAAAAABsk8/et-DICiBMiY/s640/IMG_6879.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oBbMOVTPjaU/U_b714LEEoI/AAAAAAABsk0/OPT_RtImZqE/s640/IMG_6871.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
11 years ago
Habarileo30 Mar
Mil.500/- kujenga nyumba za walimu
SERIKALI imetenga Sh milioni 500 kwa halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za walimu. Rais Jakaya Kikwete aliwaambia wananchi wa Tanga, juzi wakati akihutubia Mkutano wa hadhara katika barabara ya Karume.