Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uturuki kujenga kituo cha albino

SERIKALI ya Tanzania imesaini mkataba na Serikali ya Uturuki ya ujenzi wa kituo kikubwa cha kuhudumia wenye ulemavu wa ngozi (albino) ambacho kitakuwa na hospitali na shule. Akizungumza jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Uturuki kujenga kituo cha Albino nchini

albinos-tanzania-schoolPatricia Kimelemeta na Asifiwe George, Dar es Salaam
TANZANIA kwa kushirikiana na Uturuki inatarajia kujenga kituo kikubwa cha albino ambacho kitakuwa na huduma mbalimbali muhimu ikiwamo shule na afya.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alisema kituo hicho kitawasaidia albino kupata huduma muhimu wakiwa kwenye mikono salama.
Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kumalizika kikao cha ndani cha mabalozi na wawakilishi wa nchi...

 

11 years ago

Habarileo

Uturuki, Tanzania kujenga kijiji cha albino 500

UBALOZI wa Uturuki kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania, wana mpango wa kujenga kijiji nchini kwa ajili ya kutunza albino wapatao 500. Ujenzi wa kijiji hicho unakadiriwa kugharimu dola za kimarekani milioni tano sawa na Sh bilioni 8.2.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ya Uturuki kuwajengea albino kituo maalumu

Serikali ya Uturuki inatarajia kujenga Kituo Maalumu kwa ajili watoto zaidi ya 400 wenye ulemavu wa ngozi nchini (Albino) kinachotarajiwa kuwaweka katika mazingira salama kutokana na kukabiliwa na vitisho vya mauaji yanayohusishwa na imani za kishirikina huku wengine wakipoteza maisha bila hatia.

 

11 years ago

Michuzi

TBL YAPONGEZWA KWA KUJENGA KISIMA CHA MAJI KITUO CHA AFYA TUNDUMA.

Mganga wa Kituo hicho Dk. Gbson Mbaza alienyoosha mkono  alisema Tbl imetoa msaada mkubwa na muhimu katika sekta ya afya kwa sababu huduma hiyo inahitaji huduma ya maji kwa wingi kutokana na mahitaji ya usafi kwa wagonjwa na mazingira kuhitaji maji mengi.  Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya TBL, Doris Malulu, Alisema ili miradi iwe endelevu na imnufaishe mwananchi aliyekusudiwa ni vema suala la uangalizi likawa shirikishi kwa kila mtu ambapo itakuwa misaada kwa vizazi vijavyo...

 

10 years ago

Vijimambo

Real Madrid kujenga kituo cha michezo TZ





Mjumbe kutoka Real Madrid Rayco Garcia na Mkurugenzi wa NSSF,Ramadhani Dau wakitia saini Hati ya makubaliano
Klabu tajiri duniani, Real Madrid ya Uhispania imesaini hati ya makubaliano na Shirika la hifadhi ya Jamii Tanzania (NSSF) kwa ajili ya kujenga na kuendesha kituo cha michezo kitakachogharimu Shilingi bilioni 16.
Ujenzi huo utajumuisha viwanja vitano vya mpira wa miguu, mabweni ya wachezaji na wageni, maduka na huduma nyingine muhimu .Pia watajenga uwanja wa gofu wenye mashimo 18...

 

10 years ago

Habarileo

SMZ kujenga kituo cha walioathirika mihadarati

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imejizatiti kuhakikisha tatizo la vijana wanaotumia dawa za kulevya linadhibitiwa kwa kiasi kikubwa kwa kujenga kituo cha kurekebisha tabia kwa vijana walioathirika na dawa za kulevya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid kujenga kituo cha Michezo

Real Madrid ya Hispania imesaini hati ya makubaliano na shirika la hifadhi ya jamii Tanzania (NSSF) kujenga kituo cha michezo

 

10 years ago

BBCSwahili

Real,NSSF kujenga kituo cha michezo Tanzania

Real Madrid ya Hispania imesaini makubaliano na NSSF kujenga na kuendesha kituo cha michezo kitakachogharibu bilioni 16.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO

Prof. Bakari Lembaliti ambaye ni Mwalimu wa Chuo Kikuu Muhas Muhimbili akiwapatia miswaki na Dawa watoto wenye ulemavu wa macho baada ya kuwapa elimu ya matumizi ya usafi wa kinywa na meno inayo endelea kwa siku ya pili katika Shule ya Msingi Buhangija iliyopo ShinyangaProf. Bakari Lembaliti (kushoto) ambaye ni Mwalimu wa Chuo Kikuu Muhas Muhimbili akiongea na Mwanafunzi Khassan Shaban ( aliye vaa kofia kulia) anayesoma katika Sekondari ya Muhumbu Islamic ambaye amedhaminiwa na Shirika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani