Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Uturuki kuwajengea albino kituo maalumu

Serikali ya Uturuki inatarajia kujenga Kituo Maalumu kwa ajili watoto zaidi ya 400 wenye ulemavu wa ngozi nchini (Albino) kinachotarajiwa kuwaweka katika mazingira salama kutokana na kukabiliwa na vitisho vya mauaji yanayohusishwa na imani za kishirikina huku wengine wakipoteza maisha bila hatia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Uturuki kujenga kituo cha albino

SERIKALI ya Tanzania imesaini mkataba na Serikali ya Uturuki ya ujenzi wa kituo kikubwa cha kuhudumia wenye ulemavu wa ngozi (albino) ambacho kitakuwa na hospitali na shule. Akizungumza jijini Dar...

 

10 years ago

Mtanzania

Uturuki kujenga kituo cha Albino nchini

albinos-tanzania-schoolPatricia Kimelemeta na Asifiwe George, Dar es Salaam
TANZANIA kwa kushirikiana na Uturuki inatarajia kujenga kituo kikubwa cha albino ambacho kitakuwa na huduma mbalimbali muhimu ikiwamo shule na afya.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alisema kituo hicho kitawasaidia albino kupata huduma muhimu wakiwa kwenye mikono salama.
Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kumalizika kikao cha ndani cha mabalozi na wawakilishi wa nchi...

 

10 years ago

Habarileo

Watoto wamiminika kituo maalumu cha albino

WATOTO wenye ulemavu wa ngozi katika kituo maalumu cha kulea watoto hao Buhangija Manispaa ya Shinyanga, wamezidi kuongezeka kituoni hapo kutokana na wimbi la mauaji ya albino kuibuka tena. Hadi juzi kituo hicho kilifikishiwa watoto zaidi ya 100.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kuwajengea majaji nchini nyumba70

Serikali inatarajia kujenga nyumba 70 za majaji kwenye mikoa tofauti nchini, ikiwa ni juhudi za kuwezesha mhimili huo.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yaombwa kuwajengea makazi waishio mazingira magumu.

Na Frederick Siwale,

Njombe.

Watoto wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi mkoani Njombe wameiomba Serikali kuwajengea makazi ili kutambuliwe na kuhifadhiwa waweze kuondokana na adha ya maisha wanayokabiliana nayo hivi sasa.

 

Walitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti wakati kamera ya Star Tv ilipowafikia ambapo imebainika kuwa wanakutana na changamoto mbalimbali katika makazi yasiyo ya kudumu ikiwemo majumba mabovu na  maeneo ya masoko.

 

Watoto hao ambao wengi wao ni yatima wamekuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Uturuki, Tanzania kujenga kijiji cha albino 500

UBALOZI wa Uturuki kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania, wana mpango wa kujenga kijiji nchini kwa ajili ya kutunza albino wapatao 500. Ujenzi wa kijiji hicho unakadiriwa kugharimu dola za kimarekani milioni tano sawa na Sh bilioni 8.2.

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame

Na. Mwandishi Maalum
Wananchi wa Wilayani  Same katika  kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi Musoma kuweka kituo maalumu Wilayani Butiama

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(DCI),Kamishna Issaya Mngulu amesema Wilaya ya Butiama inahitaji kuwa na ulinzi maalumu ilikukabiliana na uhalifu hasa mauaji ya wanawake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waomba kituo maalumu cha watoto walemavu Buhangija kusaidiwa zahanati

DSC_0002

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Bi. Anne Rose Nyamubi mara baada ya kuwasili ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo kabla ya kuelekea kwenye kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo mkoani Shinyanga.

Na mwandishi wetu, Shinyanga

MKUU wa wilaya ya Shinyanga AnneRose Nyamubi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani