Polisi Musoma kuweka kituo maalumu Wilayani Butiama
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(DCI),Kamishna Issaya Mngulu amesema Wilaya ya Butiama inahitaji kuwa na ulinzi maalumu ilikukabiliana na uhalifu hasa mauaji ya wanawake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Polisi kuweka vituo maalumu ufukweni
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema litaimarisha ulinzi kwa kuweka vituo vya muda katika fukwe za Bahari ya Hindi pamoja na maeneo yote yatakayokuwa na mikusanyiko ya watu wengi wakati wa mkesha wa Mwaka Mpya.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Kamanda wa Kanda hiyo, Kamishna Suleiman Kova, alisema watashirikisha wadau wengine wa ulinzi na usalama ili kuhakikisha hali ya usalama inaimarika.
Alisema wakati wa mkesha wataweka ulinzi...
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
9 years ago
StarTV23 Dec
Jeshi la Polisi laombwa kuweka ulinzi maalumu kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino)
Chama watu wenye ulemavu wa ngozi Albino Mkoa wa Tanga kimeliomba jeshi la polisi kuweka ulinzi maalumu kwenye maeneo yenye walemavu hao kama sehemu ya kukabiliana na ukataji wa viungo na mauaji ya watu hao.
Kauli ya chama hicho imekuja baada ya mlemavu mwenzao wa ngozi Ester Maganga mkazi wa wilaya ya Lushoto kukatwa kidole chake cha mkono wa kusoto kwa imani za kishirikina.
Katibu wa chama cha Albino Mkoa wa Tanga, Mahmud Salekhe amesema kitendo cha Mwenzao Ester Maganga mkazi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KflJpP97m_E/U7MCleu3tMI/AAAAAAAFuAM/8x2XjBMh9Fs/s72-c/unnamed+(12).jpg)
BIASHARA UNITED MUSOMA YAIBAMIZA POLISI VETERAN YA MUSOMA MABAO 2-0
![](http://1.bp.blogspot.com/-KflJpP97m_E/U7MCleu3tMI/AAAAAAAFuAM/8x2XjBMh9Fs/s1600/unnamed+(12).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9s7LQVci4Tk/XqA5SezPWHI/AAAAAAALn0c/pnd--DHQVUMsNr6Upobu98T637zSyfGIACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B3.jpg)
KADIO AKAGU MAENDELEO YA JENGO LA KITUO KIPYA CHA POLISI MBANDE WILAYANI KONGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9s7LQVci4Tk/XqA5SezPWHI/AAAAAAALn0c/pnd--DHQVUMsNr6Upobu98T637zSyfGIACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Picha-4-1.jpg)
11 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Mambo ya Ndani azindua Kituo cha Polisi Natta,Wilayani Serengeti Mkoani Mara
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo
Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.
Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.
Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.
Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.
Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.
Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.
Bajaji zikiendelea na Kazi.
Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3NOjMuMBiGE/VTZtVEdl-QI/AAAAAAAHSRk/2SivmDfdMKs/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TAARIFA MAALUMU KUTOKA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM JUU YA WAHALIFU WALIOTIWA NGUVUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3NOjMuMBiGE/VTZtVEdl-QI/AAAAAAAHSRk/2SivmDfdMKs/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Watuhumiwa wanne wamekamatwa jijini Dar es Salaam katika makutano ya barabara ya Bibi Titi na Ohio karibu na Hotel ya Serena baada ya kumpora raia wa kigeni wakiwa na gari dogo rangi ya kijivu yenye nambari za usajili T787 DBU Toyota Cienta.
Hivi karibuni kumeibuka wimbi la wahalifu kuwapora pesa na vitu vya thamani kama mikufu, bangili, hereni pia pete na vitu mbalimbali vya thamani raia wa kigeni na akina mama ambao hupenda kutembea na pochi. Wahalifu hawa hutumia gari dogo ambalo mara kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-skrh5DAEvMY/U80_Wf7t92I/AAAAAAAF4ZY/J-giBoDMqaE/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Wataalamu wa kilimo wilayani Handeni kukutana kuweka mikakati ya mazao mapya yatakayofaa kwa biashara