Serikali kuwajengea majaji nchini nyumba70
Serikali inatarajia kujenga nyumba 70 za majaji kwenye mikoa tofauti nchini, ikiwa ni juhudi za kuwezesha mhimili huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 May
Serikali ya Uturuki kuwajengea albino kituo maalumu
10 years ago
StarTV29 Dec
Serikali yaombwa kuwajengea makazi waishio mazingira magumu.
Na Frederick Siwale,
Njombe.
Watoto wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi mkoani Njombe wameiomba Serikali kuwajengea makazi ili kutambuliwe na kuhifadhiwa waweze kuondokana na adha ya maisha wanayokabiliana nayo hivi sasa.
Walitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti wakati kamera ya Star Tv ilipowafikia ambapo imebainika kuwa wanakutana na changamoto mbalimbali katika makazi yasiyo ya kudumu ikiwemo majumba mabovu na maeneo ya masoko.
Watoto hao ambao wengi wao ni yatima wamekuwa...
10 years ago
MichuziWananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0003.jpg?width=640)
JAJI RUTAKANGWA: BADO KUNA UPUNGUFU WA MAJAJI NCHINI
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s72-c/12345.jpg)
SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s1600/12345.jpg)
Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Taasisi kuwajengea watumishi nyumba
TAASISI ya Watumishi Housing inatarajia kuondoa kero kwa baadhi ya watumishi serikalini hasa wale wanaolipwa mshahara mdogo kustaafu huku wakiwa hawana nyumba wanazomiliki kwa kujenga nyumba na kisha kuwauzia kwa...
10 years ago
Habarileo22 Feb
Mradi wa kuwajengea uwezo vijana wazinduliwa
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amezindua mradi wa kuwajengea uwezo vijana katika ujasiriamali.
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wito watolewa wazazi kuwajengea maadili mema watoto
Diwani wa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi,Stephano Misai,akizungumza kwenye mahafali ya kwanza ya darasa la saba shule ya msingi Unyahati iliyopo kijiji cha Muungano .Mgeni rasmi huyo amezitaka shule za msingi na sekondari zenye bahati ya kuwa karibu na huduma ya umeme, kuweka nishati hiyo kwa ajili ya wanafunzi kujifunza kompyuta. Wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni Chiku Alli raia wa Norway aliyekusanya fedha kutoka kwa raia wa Norway na kugharamia ujenzi wa shule ya Unyahati. Kulia ni...