Taasisi kuwajengea watumishi nyumba
TAASISI ya Watumishi Housing inatarajia kuondoa kero kwa baadhi ya watumishi serikalini hasa wale wanaolipwa mshahara mdogo kustaafu huku wakiwa hawana nyumba wanazomiliki kwa kujenga nyumba na kisha kuwauzia kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
5 years ago
MichuziDKT MWANJELWA AWATAKA WATUMISHI HOUSE KUWEKA KIPAUMBELE WATUMISHI WA UMMA KUNUNUA NYUMBA ZA TAASISI HIYO
Amesema licha kutoa kipaumbele Kwa watumishi wa umma lakini pia asilimia nyingine lazima iende Kwa watumishi ambao wapo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Dkt Mwanjelwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea moja ya miradi...
9 years ago
VijimamboWATUMISHI HOUSING COMPANY, BENKI YA CRDB WATIA SAINI MKATABA WA MIKOPO YA NYUMBA KWA WATUMISHI WA UMMA
Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambo (kulia), akitia saini mkataba huo. Kutoka kushoto ni Chief Operation Officer wa WHCTZ, Weja Ng'olo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TMRC, Oscar Mgaya, Mkurugenzi wa Watumishi Housing Company, Dk.Fred Msemwa na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Charles Kimei.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UZldFb3JMoA/VGgOvBBkTBI/AAAAAAAGxko/sTc8Io0ylbQ/s72-c/unnamed.jpg)
Watumishi Housing Company na Kibaha Education Centre waafikiana kushirikiana katika ujenzi wa nyumba za watumishi wa umma
![](http://3.bp.blogspot.com/-UZldFb3JMoA/VGgOvBBkTBI/AAAAAAAGxko/sTc8Io0ylbQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U97L_la9wkw/VTp1lyFlwjI/AAAAAAAHS_w/hDaSZimVtx0/s72-c/55ebTanga-regional-commissioner-Chiku-Gallawa.jpg)
MATEMBEZI YA ASUBUHI KWA WATUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-U97L_la9wkw/VTp1lyFlwjI/AAAAAAAHS_w/hDaSZimVtx0/s1600/55ebTanga-regional-commissioner-Chiku-Gallawa.jpg)
Matembezi hayo yataanzia viwanja vya bwalo la polisi Mjini Dodoma na kufuata uelekeo wa barabara ya Bunge la Tanzania, Barabara ya Dodoma Inn, Mtaa wa Nyerere na kurudi viwanja vya Bwalo la Polisi ambapo ndio kituo cha mwisho. Matembezi hayo yataongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XpK_uEuFGow/XnudcjoHuAI/AAAAAAALlC0/gw9bEcOK8LElZ9rTMUlLOmNneYydGBRwACLcBGAsYHQ/s72-c/59474c04-0bd8-4b85-9bd3-1ac842b5a37b.jpg)
TAASISI YA BENJAMIN MKAPA YAMWAGA AJIRA 307 ZA WATUMISHI WA AFYA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XpK_uEuFGow/XnudcjoHuAI/AAAAAAALlC0/gw9bEcOK8LElZ9rTMUlLOmNneYydGBRwACLcBGAsYHQ/s640/59474c04-0bd8-4b85-9bd3-1ac842b5a37b.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo wakati wa kikao na Waandishi wa habari, kilichofanyika Jinjini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/658735b0-7fae-4a05-8d4c-38422f40c5f4.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Waandishi wa habari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/414f7e28-ac98-4662-9c1e-f947fe20df8a.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Benjamin Mkapa Dkt. Ellen Mkondya akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano ulioongozwa na Waziri wa Afya leo Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/67a650b7-10e6-40a9-a68d-b1e5c5f27311.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...
10 years ago
Habarileo16 Nov
Ghasia ahimiza ujenzi nyumba za watumishi
SERIKALI imetoa agizo kwa wakuu wote wa mikoa nchini, kuhakikisha kuwa kila halmashauri nchini inatenga eneo mahususi kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi, kwa kuwa nyumba ni mahitaji muhimu kwa kila mtumishi nchini.
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Watumishi: VAT iondolewe kwenye nyumba
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Ghasia: Tengeni maeneo ujenzi nyumba za watumishi
WAZIRI wa Tamisemi, Hawa Ghasia, amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri nchini, kutenga maeneo kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa nyumba za watumishi unaotarajiwa kuanzia Januari mwakani. Ghasia, alitoa agizo hilo...