Uzee Tanzania ni ‘majanga’
WAHENGA walisema ”ujana ni maji ya moto”mimi ninaamini usemi huu una ukweli, kwani kipindi cha ujana huwa kinapita kama maji ya moto yanavyopoa na kurudi kuwa baridi ambayo ndio asili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rbqcTFIAcRo/UySjxANAqSI/AAAAAAAFT40/3TfPX8NKPzQ/s72-c/134fe35f29168a0539d1e7830d2561ef.jpg)
uzee mwisho wake ....?
![](http://3.bp.blogspot.com/-rbqcTFIAcRo/UySjxANAqSI/AAAAAAAFT40/3TfPX8NKPzQ/s1600/134fe35f29168a0539d1e7830d2561ef.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBY*kL9Yow9JvZkRB*0iFth18jhk8M4nLFFAiu1YTP1R*yoIhGNejnDRVtsuWblHzGRQk*EiMU*ZzPVPTblO2DRT/Nisha.jpg)
NISHA AHOFIA UZEE
GLADNESS MALLYA/mchanganyiko11 MSANII wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye alitumia muda wake mwingi katika maisha yake ya ujana kwa kujirusha, amesema sasa yatosha na kwamba huu ni muda muafaka kutengeneza maisha yake ya baadaye. Msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akipiga stori na gazeti hili, Nisha alisema kwa sasa ameamua kuachana na maisha hayo kwa vile umri unakwenda na ni vyema...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_umLDZhcAxo/UwUVnItg4sI/AAAAAAAFOHY/pT_bxrRkVQE/s72-c/IMG_1484.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1coTuGyNpPeSeoYVYUyVtyRO3d8Mh5yXxtmJVVeQaBoCV-NLWP51YQa3Q2Be*XC9UH9bOeEqgIxEebF3c3CEQxZQ/mpekeeno2.jpg)
SASA HIVI UZEE MWISHO MSATA!
INAKUWA nini masela na maduu wa ukwehe? Ama nini? Kipande hii ni kama lasti wiki arifu. Chuma kingine kikali Bongo Muvi kaka mkubwa kabisa Tyson naye karesti ini pisi chaliiangu ndo maana dizaini kama mizuka ipo dauni kimtindo. Umepata lesoni gani mnyama wangu baada ya watu wetu wa nguvu kudedi fastafasta? Umkumbuke Saa Godi taimu yote katika kila mbishe unayopiga. Karibu kwenye hizi stori tamu za kitaani kwetu mazee. Tudei ngoja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMaE3AlCLPUzZgN5mYt5BWXOOpaZrCyDJTiDA3fPp14V-iHRv9kGz3YIxckrkYfsGqHcqzSjG3gyGa2JWp7PUyiL/mahaba.jpg)
UNAKULA UJANA, UZEE UTALIWA NA NANI?-2
Kama unakumbuka vizuri tuliishia pale ambapo mwanamke anamtamani mwanaume mwenye gari ambaye anamtumia kisha anammwaga kisha anatafuta mvulana mwingine ili aendelea kuwa juu kwenye sekta ya starehe kama alivyokuwa awali.
TUENDELEE… Yule mwanaume mwenye gari anammwaga sababu anaamini kesho atapata mwingine ambaye atakuwa na kiu ya kupenda gari kama alivyolipenda yule wa awali. Staili ya maisha kwa mwanaume wa dizaini hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-BHny-5PSPRvkQk0CSogLuzQ*R0TBquyoCdBl*drxVTfhnGCIadJhNkoP9i*teJdarqvBMx2OatBs90s89cXGwu/mahaba.jpg?width=650)
UNAKULA UJANA, UZEE UTALIWA NA NANI?
BILA shaka wapenzi wasomaji wa safu hii mko vizuri na mko tayari kupokea mambo mapya baada ya wiki iliyopita kumaliza somo letu lililohusu mchepuko. Tulijifunza kwamba mchepuko una madhara kwa pande zote mbili, mwanamke na mwanaume na kupata jibu la pamoja kwamba ni vyema wapendanao wakawa waaminifu kwani hakuna jipya katika mapenzi. Wiki hii tunajadili mada mpya ambayo inahusu ujana. Ujana ni sehemu ambayo kimsingi ina...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT4CeOBZX2HfrTQzKGe92G9ykrNfmwLnaQ1BqZrkAwO-cPTGXBKNyJncjVcB*3uogWX2DyNMkmObK34EET2xOm5V/chalinze.jpg)
AMA KWELI UZEE MWISHO CHALINZE!
Stori: Richard Bukos na Issa Mnally
Amakweli dunia imekwisha! Watu wa Dar es Salaam wanasema uzee mwisho Chalinze, Dar es Salaam kila mtu baby, kauli hiyo ilitimia usiku wa kuamkia Jumanne iliyopita baada ya mmiliki wa Gesti ya GLP ya Mabibo Mwisho jijini Dar es Salaam, Amos Makelle kunaswa kitandani usiku wa manane na mfanyakazi wake aitwae Tina. Babu Amos Makelle baada ya kunaswa akiwa kitandani na mfanyakazi wake aitwae...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yasaidia wanafunzi Ukerewe, yatoa msaada wa vitanda, magodoro na vifaa vya kukabiliana na majanga
![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s640/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania