Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzembe wa jeshi waudhi wakaazi Nigeria

Wakaazi kaskazini mashariki mwa Nigeria wakasirishwa na hatua ya jeshi kuondoa vituo vya ukaguzi kabla ya shambulio la Jumatatu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakaazi watofautiana na jeshi Maiduguri

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limefaulu kusambaratisha shambulio la pili la Boko Haram licha ya wakaazi kupinga hilo

 

11 years ago

Michuzi

USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAAZI WA MBEYA



Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, BARAKAEL .N. MASAKI – ACP anawatangazia Wananchi wote ya kuwa orodha ya majina ya vijana waliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2013 na cha Sita mwaka 2014 na kuchaguliwa kufanya usalii wa kujiunga na Jeshi la Polisi inapatikana kwenye tovuti ya Polisi: www.policeforce.go.tz au wafike ofisi ya kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya iliyopo Forest jirani na Mahakama kuangalia majina yao.
Muhimu:
• Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha usaili...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mradi wa umeme wa upepo Singida ‘waudhi’ wananchi

IMG_6587

Baadhi ya wakazi wa kata ya Kisaki manispaa ya Singida waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa upepo unaotekelezwa na kampuni ya Wind East Africa.

IMG_6596

Makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano Tanzania, Dk.Mohammed Ghalib Bilal,akizindua mradi wa kufua umeme wa upepo unaotekelezwa na kampuni ya Wind East Africa katika eneo la kijiji cha Kisaki manispaa ya Singida.

Na Jumbe Ismail, Singida

SIKU chache tu baada ya Makamu wa Rais,Dk.Mohamed Gharib Bilali kuweka jiwe la msingi la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa jeshi watimuliwa Nigeria

Rais wa Nigeria , Goodluck Jonathan, amewafuta kazi makamanda wake wakuu wa jeshi na kufanya mageuzi jeshini

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lavamia magazeti

Jeshi la Nigeria limevamia vituo vya kusambaza magazeti.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria 'lipo thabiti'

Rais Goodluck Jonathan amesema kuwa jeshi la nchi hiyo halijashindwa kuyazuia mashambulio ya kundi la wapiganaji wa Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chibok yakombolewa na jeshi la Nigeria

Msemaji wa jeshi la Nigeria aeleza kuwa Chibok imekombolewa na jeshi kutoka Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lahamia Maiduguri

Jeshi la Nigeria limehamisha makao yake makuu hadi mji wa Maiduguri ilikukabiliana na wapiganaji wa Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Amnesty yakosoa jeshi la Nigeria

Shirika la Amnesty International, limelishutumu jeshi la Nigeria kwa kushindwa kuwalinda raia katika mji wa Baga dhidi ya Boko Haram

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani