uzinduzi cha chama NETEVE kinachojihusisha na mambo ya utamaduni wa Afrika nchini Ubelgiji
Mheshimiwa Tim Vandenput Meya wa kitongoji cha Hoeilaart nchini Ubelgiji akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa chama cha NETEVE,wa kwanza kushoto ni Rais wa chama hicho Madame Oliva Butoyi akishuhudia uzinduzi huo.wengineo ni wanachama wanaounda umoja huo,Neteve ni chama kinachojihusisha na mambo ya tamaduni za nchi mbalimbali toka barani Africa.
Wanachama wa Neteve wakipiga makofi kushangilia uzinduzi rasmi wa umoja wao pale Mheshimiwa Tim Vandenput alipokata utepe kukizundua chama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Chama cha utamaduni wa nchi mbalimbali za bara la Afrika ‘NETEVE’ chazinduliwa Ubelgiji
Mheshimiwa Tim Vandenput Meya wa kitongoji cha Hoeilaart nchini Ubelgiji akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa chama cha NETEVE,wa kwanza kushoto ni Rais wa chama hicho Madame Oliva Butoyi akishuhudia uzinduzi huo. Wengineo ni wanachama wanaounda umoja huo, Neteve ni chama kinachojihusisha na mambo ya tamaduni za nchi mbalimbali toka barani Afrika.(Picha na maelezo toka Maganga One Blog).
Wanachama wa Neteve wakipiga makofi kushangilia uzinduzi rasmi wa umoja wao pale Mheshimiwa Tim...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA CHAMA KISICHO CHA KISERIKALI NCHINI UBELIGIJI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s72-c/MAKONDA.jpg)
PAUL MAKONDA KUWA MGENI RASMI UZINDUZI WA CHAMA CHA WAPISHI WA KEKI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s400/MAKONDA.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini DSM, mwenyekiti wa muda wa umoja huo PHILIP MBONDE amesema umoja huo utaweza kuwaunganisha wapishi wa keki na wanaojishughulisha na biashara ya cake nchini na kuweza kujumuika pamoja katika majukumu mbali mbali.
“ Hili ni jambo jipya hapa nchini, wapo wajasiriamali...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA RASMI BALOZI WA UBELGIJI ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
MichuziWASHINDI WA TUZO ZA HABARI ZA TANAPA WATEMBELEA KIJIJI CHA UTALII WA UTAMADUNI AFRIKA KUSINI CHA LESEDI
9 years ago
VijimamboUzinduzi wa Mkutano wa Kampeni wa Urais wa Chama cha CHAUMMA Komba Wapya Rahaleo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10