UZINDUZI WA CHAMA KISICHO CHA KISERIKALI NCHINI UBELIGIJI
Mheshimiwa Tim Vandenput Meya wa kitongoji cha Hoeilaart nchini Ubelgiji akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa chama cha NETEVE,wa kwanza kushoto ni Rais wa chama hicho Madame Oliva Butoyi akishuhudia uzinduzi huo.wengineo ni wanachama wanaounda umoja huo,Neteve ni chama kinachojihusisha na mambo ya tamaduni za nchi mbalimbali toka barani Africa.
Wanachama wa Neteve wakipiga makofi kushangilia uzinduzi rasmi wa umoja wao pale Mheshimiwa Tim Vandenput alipokata utepe kukizundua chama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuziuzinduzi cha chama NETEVE kinachojihusisha na mambo ya utamaduni wa Afrika nchini Ubelgiji
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s72-c/MAKONDA.jpg)
PAUL MAKONDA KUWA MGENI RASMI UZINDUZI WA CHAMA CHA WAPISHI WA KEKI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s400/MAKONDA.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini DSM, mwenyekiti wa muda wa umoja huo PHILIP MBONDE amesema umoja huo utaweza kuwaunganisha wapishi wa keki na wanaojishughulisha na biashara ya cake nchini na kuweza kujumuika pamoja katika majukumu mbali mbali.
“ Hili ni jambo jipya hapa nchini, wapo wajasiriamali...
10 years ago
Michuzi27 Feb
9 years ago
VijimamboUzinduzi wa Mkutano wa Kampeni wa Urais wa Chama cha CHAUMMA Komba Wapya Rahaleo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hEfyesP0w8A/Vd4zgdpHbkI/AAAAAAAH0Q8/nxLOx4_IzEg/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-k4-DWiV8i2g/VQ66amVN7MI/AAAAAAAHMLU/2c1aSP9zAtU/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Francois Botha na rais wa chama cha ngumi cha dunia cha WBF, Howard Goldberg kuwasili nchini tayari kwa kusimamia pambano la masumbwi machi 27
![](http://2.bp.blogspot.com/-k4-DWiV8i2g/VQ66amVN7MI/AAAAAAAHMLU/2c1aSP9zAtU/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
Botha atawasili nchi kwa mara ya pili kwa mualiko maalumu wa Kampuni ya Hall Of Fame inayoandaa mapambano ya ngumi ndani na nje ya nchi. Nguli huyo wa masumbwi anatarajiwa kuwasili saa 12 jioni na ndege ya Shirika la ndege la Afrika Kusini sambamba na...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Msondo; Chuo cha muziki kisicho na majengo
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ch-zO2OkuRY/ViTFg9f_hBI/AAAAAAAIA3g/O6ZrvVhbcd8/s72-c/Pix%2B1.jpg)
MSHAURI WA CHAMA CHA DUNIA CHA MCHEZO WA MPIRA WA KIKAPU AKUTANA NA UONGOZI WA SEKTA YA MICHEZO NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ch-zO2OkuRY/ViTFg9f_hBI/AAAAAAAIA3g/O6ZrvVhbcd8/s640/Pix%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-adab5LNSVoU/ViTFhbXy71I/AAAAAAAIA3k/dzv6kV1NOes/s640/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
MichuziUJUMBE WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI WAKUTANA NA BAADHI YA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR