Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UZUSHI WA KIFO CHA MZEE SMALL, SHILOLE YAMKUTA!

Stori: MUSA MATEJA
MSANII wa muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuandika juu ya uzushi wa kifo cha msanii mkongwe,  Said Ngamba ‘Mzee Small’ kupitia mtandao wa Instargram. Said Ngamba ‘Mzee Small’ aliyezushiwa kifo Shilole ambaye baada ya kugundua kuwa hakuwa sahihi kuandika juu ya kifo hicho kwani haikuwa kweli, alilazimika kukanusha na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MZEE SMALL YUPO HAI, TAARIFA ZA KIFO CHAKE NI UZUSHI

KUNA taarifa zilizagaa kuwa msanii mkongwe wa vichekesho na maigizo nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ amefariki dunia. Taarifa hizo ni za uongo na uzushi maana mwandishi wetu ameongea na mke wa Mzee Small pamoja na Mzee Small mwenyewe ambaye ni mzima kabisa!  Mke wa Mzee Small anadai usiku kucha hajalala maana alikuwa anapokea meseji za pole kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu taarifa hizo za uzushi. Mzee Small...

 

11 years ago

GPL

MZEE SMALL SIKU 790 ZA KIFO

Maehemu Mzee Small akiwa hospitali enzi za uhai wake. Stori: MWANDISHI WETU Msiba tena! Ukweli ni kwamba gwiji wa maigizo na vichekesho Bongo, Said Ngamba ‘Mzee Small’ ameandamwa na roho wa kifo kwa siku 790 hadi alipokutwa na umauti usiku wa kuamkia jana, Ijumaa Wikienda lilikuwa naye bega kwa bega.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee Small amlaani aliyemzushia kifo

NGULI wa filamu na maigizo nchini, Saidi Ngamba ‘Mzee Small’ amemlaani mtu aliyesambaza taarifa za uongo kwamba amefariki juzi usiku. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mzee Small alisema, alipata...

 

11 years ago

Michuzi

uzushi wa kifo feki cha muigizaji Will Smith watikisa dunia

Taarifa za kifo cha mwigizaji nguli wa Marekani Will Smith zilisambaa kama moto nyikani mapema wiki hii, na kusababisha mtafaruku kwa mashabiki wake duniani kote. Hata hivyo taarifa ya jana Ijumaa February 21, 2014 zimethibitisha kuwa habari hizo za uzushi na uwongo ni mojawapo ya nyingi zinazohusisha watu maarufu.  Kwa mujibu wa uchunguzi wa kina uliofanywa na Globu ya Jamii, ukweli ni kwamba mwigizaji huyo aliyetamba katika filamu kadhaa ziiwemo The Pursuit of Happyness, Men in Black...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yatoa Ufafanuzi juu ya uzushi wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tatu

Na Georgina Misama-MAELEZO Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene amekanusha taarifa za uzushi zinazosambazwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mhe. Benjamin William Mkapa. Akiongea katika mkutano na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam Bw. Mwambene amesema kuwa Mhe. Rais Mkapa ni mzima na mwenye afya nzuri   anaendelea na shughuli zake kila siku kama kawaida. “Mhe. Rais Benjamin William Mkapa ni...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar

16

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.

17

_1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAONGOMA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MAREHEMU MZEE SAID NGAMBA "MZEE SMALL" JIJINI DAR LEO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam leo Juni 9, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika dua wakati alipokwenda kuhani msiba wa msanii maarufu wa filamu vichekesho Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam leo Juni 9, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho...

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MZEE MANG'ANYA

ITS now 5 yrs Since You left Us On 02/09/2010.Thursday 15:45 Pm!!!!!!
We thought of you with love today,But that is nothing new.We thought about you yesterday.And days before that too.We think of you in silence.We often speak your name.Now all we have is memories.And your picture in a frame.Your memory is our keepsake.With which we'll never part.God has you in his keeping.We have you in our heart.We as family will remember all you taught usWe are hurt but we won't be sadBecause he'll send us...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani