Viapo vya ndoa havitekelezeki.
Ahadi ya kushikamana katika shida na raha,taabu na shida viapo hivi ama ahadi hizi zinachukuliwa kirahisi mno na wanandoa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Feb
Serikali yashutumu ukiukaji wa viapo vya uaminifu kwa taifa
SERIKALI imesema madai ya baadhi ya vijana waliohitimu katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuruhusiwa kujiunga na vikundi vya majeshi ya nchi jirani yanayopigana ni kukosa uzalendo na uaminifu kwa taifa.
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Wahitimu wa NBAA wameaswa kulinda, kutunza na kusimamia viapo vya taaluma yao
Mgeni rasmi ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Mark Mwandosya akimpongeza mmoja wa wahitimu wa CPA aliyefanya vizuri kwenye mitihani yake wakati wa mahafali ya 37 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jana jijini Dar es Salaam.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) aliyemaliza muda wake Ludovick Utto akimpa mkono wa pongezi Mrithi wake katika nafasi hiyo Prof. Mussa Juma Assad wakati wa mahafali ya 37 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watumishi wa kada za afya nchini watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili na viapo vya taaluma zao
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.
Wauguzi wa wodi ya akinamama katika hospitali teule ya mkoa wa Geita.
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Viapo kutafuna mil. 500/-
BUNGE Maalumu la Katiba litatumia zaidi ya sh milioni 500 kwa siku tatu kama posho za wajumbe ambao kwa siku hizo watakuwa wakifanya shughuli ya kuapa mmoja mmoja. Fedha hizo...
9 years ago
Michuzi
ZINGATIENI VIAPO VYENU – ANGELA KAIRUKI.



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki alipotembelea ofisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya...
11 years ago
Habarileo31 Aug
Wahitimu uuguzi watakiwa kuheshimu viapo vyao
WAHITIMU wa mafunzo ya ukunga na uuguzi nchini wametakiwa kuepukana na vitendo vya kuwanyanyasa wagonjwa vinavyolalamikiwa kufanywa na baadhi ya watumishi hao.
10 years ago
Michuzi
Wakurugenzi watendaji na maofisa wa uchaguzi Mkoani Manyara wala viapo


5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona: Jimbo la New York lahalalisha ndoa za mitandao.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi