Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakurugenzi watendaji na maofisa wa uchaguzi Mkoani Manyara wala viapo

Wakurugenzi watendaji na maofisa wa uchaguzi wa Halmashauri za Wilaya Mkoani Manyara, wakila viapo kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura yaliyofanyika jana mjini Babati. Mchambuzi mwandamizi wa kompyuta wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) Joseph Mally akionyesha vifaa vya Biomertic Voter Registration (BVR) vitakavyotumika kwenye uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Mkoani Manyara, jana mjini Babati.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU MANYARA YAWATIA MBARONI MAOFISA WAWILI WA TRA

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini, (TAKUKURU) Mkoani Manyara, inawashikilia maofisa wawili wa mamlaka ya mapato nchini (TRA) kwa kudaiwa kupokea rushwa ya shilingi milioni 10.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu (Pichani) akizungumza mjini Babati alisema maofisa hao TRA wanadaiwa kufanya kosa hilo kinyume cha kifungu cha 15 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007. 
Makungu aliwataja majina yao maofisa hao wa TRA wanaodaiwa kupokea rushwa ya...

 

10 years ago

Habarileo

Watendaji wala rushwa wanawaponza waadilifu

Modestus KilufiMBUNGE wa Mbarali, Modestus Kilufi (CCM), amesema watendaji wala rushwa na mafisadi wanasababisha mawaziri waadilifu walaumiwe bila sababu.

 

10 years ago

StarTV

Maafisa ardhi waaswa kuelimisha watendaji Manyara.

Na Ramadhan Mvungi

Arusha.

 

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera amewaagiza maafisa wa ardhi kuwaelimisha watendaji ngazi za vijiji na kata kuhusu sheria za ugawaji wa Ardhi.

Hatua hii itaepusha utaratibu wa uuzwaji wa ardhi kiholela unaochangia migogoro na mauaji katika baadhi ya maeneo mkoani Manyara.

o que fazer viagra para homens

Akizungumza na viongozi wa kiserikali pamoja na watumishi wa umma wilayani Kiteto katika ziara yake akiwa kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Manyara, Bendera...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU NANE MKOANI SINGIDA,KESHO KUELEKEA MKOANI MANYARA

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia Wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Msange,kata ya Msange,Singida Vijijini mkoani Singida. Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikad,siasa na Uenezi Nape Nnauye,leo wanahitimisha siku nane za ziara yao ya Kukagua kuhimiza na kusukuma miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Chama,kukagua maandalizi ya uchaguzi ya serikali za mitaa,kusikiliza kero za wananchi na kuzitafututia ufumbuzi.Kinana...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiravu: Wakurugenzi Halmashauri wasimamie uchaguzi

>Wakati joto la uchaguzi likiendelea kupanda nchini, aliyekuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Rajabu Kiravu amependekeza Wakurugenzi wa Halmashauri wasisimamie uchaguzi ili kuondoa malalamiko.

 

10 years ago

Habarileo

Wakurugenzi 6 watimuliwa kuvurunda uchaguzi serikali za mitaa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia akizungumza na waandishi Dar es Salaam jana kuhusu wakurugenzi walioshindwa kutimiza wajibu wao katika kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Mwingine ni Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI, Edwin Kiliba. (Picha na Yusuf Badi).SERIKALI imechukua hatua kali kwa wakurugenzi 17 wa halmashauri mbalimbali nchini, ambapo sita uteuzi wao umetenguliwa, watano wamesimamishwa kazi, watatu wamepewa onyo kali na watatu wamepewa onyo.

Wote hao wamepewa adhabu hiyo kutokana na kushindwa kutimiza wajibu wao katika kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika Jumapili.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia alisema hayo Dar es Salaam...

 

10 years ago

StarTV

Madudu uchaguzi serikali za mitaa, wakurugenzi watimuliwa.

Na Mwandishi Maalum.

Serikali imetengua uteuzi wa Wakurugenzi sita wa Halmashauri, na kuwasimamisha kazi wengine watano kupisha uchunguzi, kutokana
na kubainika kuchangia kuvurugika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika tarehe 14, mwezi huu.

Akitangaza hatua hiyo kufuatia ripoti iliyoibua madudu yaliyofanyika katika uchaguzi huo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Hawa Ghasia amesema uamuzi huo pia umeridhiwa na Rais Jakaya...

 

10 years ago

Habarileo

Wakurugenzi wasimamishwa kwa kuvurunda uchaguzi serikali za mitaa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.SERIKALI imetengua uteuzi wa Wakurugenzi sita wa Halmashauri, na kuwasimamisha kazi wengine watano kupisha uchunguzi, kutokana na kubainika kuchangia kuvurugika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika tarehe 14, mwezi huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Ghasia atimua wakurugenzi walioboronga Uchaguzi Serikali za Mitaa

Waziri wa Nchi Ofisi ya  Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa (Tamisemi) Hawa Ghasia amewasimamisha kazi wakurugenzi wa halmashauri  mbalimbali kutokana na  kuchelewa kuandaa  na kupeleka vifaa vya kupigia kura pamoja na uzembe katika kutekeleza majukumu yao katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika nchi nzima Jumapili iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani