Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIATU VYA URAIS 2015 VINAVYO- MWENEA NA KUMPWAYA

NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba. NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba, anatajwa kutaka kuvaa viatu vya urais, amrithi Jakaya Kikwete; awe kiongozi wa taifa wa awamu ya tano. Kumkatalia au kumkubali kunahitaji hoja na siyo maneno. Kwa kuwa Mwigulu anajipitishapitisha kuwania nafasi hiyo ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kina vigezo ambavyo lazima avikidhi. Moja  ya vigezo hivyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

VITA VYA URAIS 2015… Serikali yagawanyika

MHEMUKO wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwemo viongozi wa serikali kukimbilia kutangaza nia ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete mwakani, umezigawa taasisi mbalimbali za serikali, binafsi na umma hivyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli ya ushonaji viatu

001

Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za kushona viatu na kuweza kumiliki Kiwanda cha Viatu  na kuwaajili watu zaidi ya 2,50. Kwenye kiwanda hicho (kushoto), Msimazi wa Kiwanda hicho Bi.Teya Herman.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

002

Wafanyakazi wa kiwanda cha WOISO wakiwa kazini.

003

Eliza  Hamad, akiwa na mfanyakazi mwezie Bw.Hilari Kimario...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viatu vya rushwa vinampwaya JK

UKWELI huu waweza kuwaudhi wanafiki na mafisadi lakini naomba tuvumiliane kwamba Rais Jakaya Kikwete kwa muda wa miaka tisa aliyokaa madarakani vita ya rushwa imemshinda. Kama tungetumia mfano wa viatu,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Prof.Muhongo aombwa kugombea urais 2015 na umoja wa vyama vya wanafunzi elimu ya juu

unnamed

Umoja wa Vyama vya wanafunzi elimu ya juu kutoka vyuo mbalimbali kanda ya kaskazini Kilimanjaro na Arusha wajitokeza kumshawishi Prof. Sospeter Muhongo kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mwaka 2015.(Picha na Jamiiblog).

unnamed (1)

Akizungumza kwa niaba ya vijana wenzake Mwenyekiti wa vijana  Charles Ngereza kutoka chuo cha Uhasibu Arusha amesema kuwa kinachowafanya kumshawishi Prof Sospeter Muhongo kugombea urais ni kutokana na kuwa kiongozi bora kwa wananchi na mtu anayejali matatizo...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanasiasa watakiwa ‘kuvaa viatu’ vya Filikunjombe

Rais Jakaya Kikwete jana aliongoza waombolezaji kuuaga mwili wa mgombea ubunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe ambaye wanasiasa wametakiwa kuvaa ‘viatu vyake’ kuiga mema aliyokuwa anayatenda.

 

11 years ago

Mwananchi

Nani wa kuvaa viatu vya Edward Sokoine?

Nataka niseme bila kumung’unya maneno, kwamba anatakiwa waziri mkuu mwingine wa kuvaa viatu vya waziri mkuu wa zamani, marehemu Edward Sokoine.

 

9 years ago

Raia Mwema

Rais Magufuli, epuka viatu vya waliokutangulia utaharibikiwa

TUMEJIONEA na kuthibitisha wenyewe wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu uliopita, jinsi umma wa Kit

Joseph Mihangwa

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa na ndoto za viatu vya baba yake Kalenga

GODFREY Mgimwa ni mwanasiasa kijana ambaye jina lake limevuma hivi karibuni baada ya kujitokeza kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, ambalo lilikuwa linawakilishwa na baba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani