Video: Daddy Feat King Majuto – Baba
Msanii Mpya anaitwa Daddy ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Baba” amemshirikisha King Majuto, Video imeongozwa na O Key Ghettochild.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Kutana na nyingine mpya ya French Montana ‘First Time’ feat. Puff Daddy – (Video)!
Akiwa bado anakamilsha Album yake mpya Mac & Cheese 4 inayotarajia kuwa mtaani mapema mwaka 2016, rapper kutoka Marekani French Montana amerudi kuziweka headlines kwenye kurasa za burudani weekend hii kwa kuisogeza kwetu moja ya videos kutoka kwenye album yake mpya. Wimbo unaitwa ‘First time’ featuring Puff Daddy ndani yake… Album mpya ya French Montana […]
The post Kutana na nyingine mpya ya French Montana ‘First Time’ feat. Puff Daddy – (Video)! appeared first on...
9 years ago
Bongo524 Nov
Video: Puff Daddy & The Family feat. Travis Scott & Big Sean – ‘Workin (Remix)’
![bs-workin](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/bs-workin-300x194.jpg)
Baada ya kuachia album yake ya MMM, Mkurugenzi wa lebo ya Bad Boy Entertainment, P Diddy ameachia video mpya ya remix ya “Workin”. Amewashirikisha Travis Scott na Big Sean hii ni single inayopatikana kwenye Album hii mpya ya Diddy.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo507 Nov
Music: Puff Daddy feat. Future — MMM
![diddy-future](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/diddy-future-300x194.jpg)
In just a matter of hours, Puff Daddy will drop his album MMM for free. The long-awaited project is chalk full of appearances from Lil’ Kim, Travis Scott, Big Sean, Wiz Khalifa, and Future, who appears on the title track.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Bongo509 Aug
New Music: Sho Daddy Feat. Bob Junior — Mapenzi ya Lawama
10 years ago
Bongo Movies31 May
King Majuto Agutuka
Staa mkongwe wa filamu za vichekesho King Majuto ameamua kufanya filamu zake mwenyewe na si zakushirikishwa kama kipindi cha nyuma.
Akizungumza na gazeti la Nipasge wiki hii, Majuto alisema ameamua kuwa anatoa filamu zake baada ya kuona vijana wadogo ambao wameanza kazi za uigizaji hivi karibuni wanafanya kazi za kutengeneza filamu zao wenyewe katika kampuni zao.
Majuto alisema anatafakari mbinu za kujiekea mazingira mazuri kwa ajili ya kutengeneza filamu zake.
“Nimechoka kucheza...
9 years ago
Bongo Movies19 Dec
King Majuto Kuja na Lakuvunda
AMRI Athuman ‘King Majuto’ baada ya kutoka Hija anatarajia kuja na filamu kali ya Lakuvunda ambayo itakuwa ni funga mwaka 2015, sinema hiyo ambayo imetengenezwa katika kiwango cha kimataifa, akiongea FC msemaji wa kampuni ya Splash Entertanment Steve Selenge amesema ni kazi nzuri.
“Filamu ya Lakuvunda imetengenezwa katika kiwango cha hali ya juu sana maana ni kazi ya kufunga mwaka kuanzia ubora wa hadithi production na waigizaji hasa King Majuto amefunika,”anasema Selenge.
Sinema ya...
10 years ago
Bongo Movies11 Aug
Tausi: Bila King Majuto Usingenijua
Msanii wa kike mwenye vituko Tausi Mdegela ‘Miss Iringa’ anasema kuwa hakuna mtu muhimu sana katika maisha yake ya sanaa kama msanii nyota katika vichekesho King Majuto, kwani bila mchekeshaji huyo hakuna mtu yoyote angemjua kupitia sanaa.
“Mimi bwana Mzee King Majuto ni baba yangu haswa, maana bila yeye hata wewe usingenijua nilikuwa kila nikiomba watu nionyeshe kipaji changu cha uigizaji wanakataa kunisapoti, lakini nilipokutana na Mzee Majuto hakuninyanyapaa,”anasema Tausi.
Msanii huyo...
9 years ago
Bongo Movies26 Nov
JB: King Majuto Atacheza Filamu Yangu
STAA wa filamu Bongo Jacob Stephen maarufu kama JB, amesema licha ya muigizaji mkongwe Amri Athumani ‘King Majuto’ kudai kuiweka kando sanaa ili afanye mambo ya kumpendeza Mungu baada ya kurejea kutoka hija huko Makka, atafanya hivyo baada ya kucheza kazi atakayoiandaa.
Akizungumza na gazeti hili, alisema yeye ni kama mtoto kipenzi wa Mzee Majuto, hivyo hawezi kukataa ombi lake kwa kuwa hata yeye anataka kustaafu kuigiza baada ya kufanya filamu moja na muigizaji huyo aliyejipatia umaarufu...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-91k-knkPV-o/VIHI7-gNk-I/AAAAAAAAkbk/Gr6YcJNxbEk/s1600/Mimba3.jpg?width=650)
AUNTY ACHUKIZWA NA UAMUZI WA KING MAJUTO