Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Daddy Feat King Majuto – Baba

vlcsnap-2015-12-24-13h51m20s145

Msanii Mpya anaitwa Daddy ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Baba” amemshirikisha King Majuto, Video imeongozwa na O Key Ghettochild.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kutana na nyingine mpya ya French Montana ‘First Time’ feat. Puff Daddy – (Video)!

Akiwa bado anakamilsha Album yake mpya Mac & Cheese 4 inayotarajia kuwa mtaani mapema mwaka 2016, rapper kutoka Marekani French Montana amerudi kuziweka headlines kwenye kurasa za burudani weekend hii kwa kuisogeza kwetu moja ya videos kutoka kwenye album yake mpya. Wimbo unaitwa ‘First time’ featuring Puff Daddy ndani yake… Album mpya ya French Montana […]

The post Kutana na nyingine mpya ya French Montana ‘First Time’ feat. Puff Daddy – (Video)! appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Puff Daddy & The Family feat. Travis Scott & Big Sean – ‘Workin (Remix)’

bs-workin

Baada ya kuachia album yake ya MMM, Mkurugenzi wa lebo ya Bad Boy Entertainment, P Diddy ameachia video mpya ya remix ya “Workin”. Amewashirikisha Travis Scott na Big Sean hii ni single inayopatikana kwenye Album hii mpya ya Diddy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Puff Daddy feat. Future — MMM

diddy-future

In just a matter of hours, Puff Daddy will drop his album MMM for free. The long-awaited project is chalk full of appearances from Lil’ Kim, Travis Scott, Big Sean, Wiz Khalifa, and Future, who appears on the title track.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Sho Daddy Feat. Bob Junior — Mapenzi ya Lawama

Sho Daddy ni msanii mpya amemshirikisha Bob Junior ngoma inaitwa “Mapenzi ya Lawama” imefanyika katika Studio za Sharobaro Rec

 

10 years ago

Bongo Movies

King Majuto Agutuka

Staa mkongwe wa filamu za vichekesho King Majuto ameamua  kufanya  filamu zake mwenyewe na si zakushirikishwa kama kipindi cha nyuma.

Akizungumza na gazeti la Nipasge wiki hii, Majuto alisema ameamua kuwa anatoa filamu zake baada ya kuona  vijana wadogo ambao wameanza kazi za uigizaji hivi karibuni wanafanya kazi za  kutengeneza  filamu zao wenyewe katika kampuni zao.

Majuto alisema anatafakari mbinu za kujiekea mazingira mazuri kwa ajili ya kutengeneza filamu zake.

“Nimechoka kucheza...

 

9 years ago

Bongo Movies

King Majuto Kuja na Lakuvunda

AMRI Athuman ‘King Majuto’ baada ya kutoka Hija anatarajia kuja na filamu kali ya Lakuvunda ambayo itakuwa ni funga mwaka 2015, sinema hiyo ambayo imetengenezwa katika kiwango cha kimataifa, akiongea FC msemaji wa kampuni ya Splash Entertanment Steve Selenge amesema ni kazi nzuri.

Lakuvunda

“Filamu ya Lakuvunda imetengenezwa katika kiwango cha hali ya juu sana maana ni kazi ya kufunga mwaka kuanzia ubora wa hadithi production na waigizaji hasa King Majuto amefunika,”anasema Selenge.

Sinema ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Tausi: Bila King Majuto Usingenijua

Msanii wa kike mwenye vituko Tausi Mdegela ‘Miss Iringa’ anasema kuwa hakuna mtu muhimu sana katika maisha yake ya sanaa kama msanii nyota katika vichekesho King Majuto, kwani bila mchekeshaji huyo hakuna mtu yoyote angemjua kupitia sanaa.

“Mimi bwana Mzee King Majuto ni baba yangu haswa, maana bila yeye hata wewe usingenijua nilikuwa kila nikiomba watu nionyeshe kipaji changu cha uigizaji wanakataa kunisapoti, lakini nilipokutana na Mzee Majuto hakuninyanyapaa,”anasema Tausi.

Msanii huyo...

 

9 years ago

Bongo Movies

JB: King Majuto Atacheza Filamu Yangu

STAA wa filamu Bongo Jacob Stephen maarufu kama JB, amesema licha ya muigizaji mkongwe Amri Athumani ‘King Majuto’ kudai kuiweka kando sanaa ili afanye mambo ya kumpendeza Mungu baada ya kurejea kutoka hija huko Makka, atafanya hivyo baada ya kucheza kazi atakayoiandaa.

Akizungumza na gazeti hili, alisema yeye ni kama mtoto kipenzi wa Mzee Majuto, hivyo hawezi kukataa ombi lake kwa kuwa hata yeye anataka kustaafu kuigiza baada ya kufanya filamu moja na muigizaji huyo aliyejipatia umaarufu...

 

10 years ago

GPL

AUNTY ACHUKIZWA NA UAMUZI WA KING MAJUTO

Msanii wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel. Na Laurent Samatta/Uwazi WAKATI mkongwe wa filamu za kuchekesha, King Majuto akidai kutoshiriki kazi na msanii yeyote kutokana na kuibiwa, msanii mwenzake, Aunty Ezekiel amechukizwa na uamuzi huo. Akizungumza na Uwazi, Aunty alisema kuwa haamini kama wezi wa kazi zake ndiyo chanzo cha Majuto kuachana na filamu za kushirikishwa bali inawezekana kuna tatizo lake lingine. Mkongwe wa filamu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani