Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Damian Soul na Myra walivyotuimbuiza kwenye Maisha Superstar wiki hii

Damian Soul ambaye yupo chini ya AY na Myra aliye chini ya Shaa wameendelea kuiwakilisha Tanzania kwenye shindano la Maisha Superstar linalooneshwa kila Jumatatu kupitia Maisha Magic. Jionee walivyotumbuiza wiki hii.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Video: Youmg Killer ft Damian Soul — My Power

Hii hapa Video Mpya kutoka kwa rapper anaye fanya vizuri kwasasa Young Killer amemshirikisha Damian Soul ngoma inaitwa “My Power” Video imeongozwa na Jackson Joachim

 

10 years ago

Bongo5

Video: Damian Soul akiongelea safari yake kimuziki

Diamond Soul ni mmoja wa wasanii wa rnb na soul wanaofanya vizuri kwa sasa nchini. Tayari ameshatoa ngoma kadhaa kali zikiwemo Ni Penzi na Baraka ambazo zote amemshirikisha Joh Makini. Mfahamu zaidi kwa kutazama mahojiano tuliyofanya naye hivi karibuni.

 

10 years ago

Michuzi

NIPENZI VIDEO LAUNCHING - DAMIAN SOUL & JOH MAKINI TODAY @ ESCAPE ONE


When: 07th November 2014
Where: ESCAPE ONETime: 10pm Till late tulivu ( Saa NNE usiku na kuendelea)Live band by DAMIAN SOUL together with his friends from all over the WORLD.Lots of surprise guests to be featured on.Don't afford to miss this LAUNCHING in the coming Friday...There also gonna be HIP HOP, JAZZ, SOUL & AFRO FUSSION...All LIVE with the BandY'ALL WELCOME
Damage 10K (10,000) 

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mshindi wa Maisha Superstar, PHY aachia wimbo mpya ‘Ruka’

Phy2

Mshindi wa shindano la Maisha Superstar 2015, PHY kutoka Kenya ameachia wimbo wake mpya ‘Ruka’ (video na audio) aliowashirikisha King Kaka & Khaligraph Jones. King Kaka ndiye aliyekuwa ‘mentor’ wake kwenye shindano hilo. Mwezi uliopita PHY ambaye jina lake halisi ni Phyllis Mwihaki Ng’etich pia alizindua album yake mpya ‘Phylosophy’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia...

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Damian Soul aingia studio kufanya collabo na Nameless wa Kenya

Ambwene Yessaya ‘AY’ ambaye alikuwa ‘mentor’ wa Damian Soul kwenye shindano la Maisha Superstar lililofanyika mwaka huu, aliwahi kusema kuwa wasanii wengi wakubwa wa Afrika Mashariki wamekuwa wakiomba kufanya collabo na Damian, baada ya kuona uwezo wake mkubwa aliouonesha kwenye shindano hilo. Damian Soul ambaye ameenda Kenya kufanya media tour, pia ameingia studio kurekodi collabo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani