Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Lil Wayne na Birdman wafanyiana fujo klabu

Lil Wayne na Birdman wameripotiwa kufanyiana fujo kwenye kiota cha Club Liv cha jijini Miami juzi Jumapili zilizopelekea kufungwa. Kila mmoja na wapambe wao walikuwa kwenye klabu hiyo kumuunga mkono Jim Jones aliyekuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na fujo ilianza baada ya Weezy kupanda kutumbuiza. Kwa mujibu wa watu walioshuhudia Birdman alitupa kinywaji kwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Drake awakutanisha Lil Wayne na Birdman

Wimbledon 2015 - Day 1 - Celebrity SightingsMIAMI, MAREKANI

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Lil Wayne na Birdman, wamekutana kwa mara ya kwanza kwenye ‘party’ ya msanii mwenzao, Drake.

Wawili hao wana mgogoro tangu Agosti mwaka jana hivyo kuwafanya wavunjeukaribu wao, lakini mwanzoni mwa mwaka huu wawili hao wamejikuta wakikutana katika pati ya Drake ambayo aliiandaa kwa ajili ya kusherehekea mwaka mpya.

Pati hiyo ilifanyika mjini Miami kwenye Ukumbi wa E11, hata hivyo mashabiki wamebaki na maswali mengi kama wawili hao...

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne apanga kumpeleka Birdman mahakamani

Lil Wayne na Birdman wapo vitani rasmi. Wayne anadaiwa kuwa na mpango wa kumpeleka bosi wake mahakamani baada ya njia za kawaida kumaliza tofauti zao kushindikana. Mtandao wa TMZ umedai kuwa wawili hao walijaribu kuyamaliza kifamilia zaidi lakini sasa Weezy amedhamiria kumshtaki Birdman ili atoke kwenye uongozi wa Cash Money Records. Wayne anasema Birdman amekiuka […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

EXCLUSIVE: WATCH BIRDMAN INTERVIEW WITH ANGIE MARTINEZ ABOUT LIL' WAYNE DRAMA

Birdman expressed sadness over his ongoing feud with Lil Wayne in a preview for an upcoming tell-all interview with Power 105.1's Angie Martinez. The Cash Money honcho said Wayne's screed against him and the label "was shocking to everybody. I never thought Mula [Wayne] would be saying nothing negative about me, ever.


"So that man open his mouth and say something negative about me, that was a lot — that shit fucked my day up," Birdman continued. "I love my son. He mean the world to me. For...

 

9 years ago

Bongo5

Lil Wayne adai Birdman amewaibia Drake, Nicki Minaj na Tyga mkwanja mrefu

Ugomvi kati ya Young Money na Cash Money unaendelea kuwa mkubwa zaidi baada ya Lil Wayne kutoa madai mapya. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Wayne anadai kuwa na maelezo kutoka kwa wawakilishi wa Drake na Tyga yakisema wameibiwa fedha nyingi. Kwa upande wa Nicki Minaj, anadai kuwa Young Money imemfanyia uhuni kwa kushindwa kuwalipa […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Lil Wayne — Krazy

Video mpya kutoka kwa member wa Cash Money Lil Wayne ngoma inaitwa “Krazy” Cash Money Records

 

9 years ago

Bongo5

Video: Monica Feat. Lil Wayne — Just Right for Me

monica-wayne

Msanii wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Monica Brown baada ya kuwa kimya kidogo amechia video mpya ya wimbo wake unaitwa “Just Right for Me” amemshirikisha Lil Wayne. Wimbo huu upo kwenye Album yake mpya iliyopewa jina Code Red tarehe 18 December 2015 itakuwa sokoni.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Christina Milian Feat. Lil Wayne – Do It

wyne2

Baada ya mapenzi yao kuwa yameisha lakini Christina Milian na Lil Wayne bado wana connection nzuri sana kibiashara na kimuziki.Wameachia video mpya ya wimbo wa “Do It” unaopatika kwenye EP yake 4U, Christina Milian.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Lil Durk Ft. Lil Wayne, Fetty Wap, & Jeremih – Like Me (Remix)

Lil Durk recruits a trifecta of stars—Lil Wayne, Fetty Wap, and Jeremih—for the remix to his single “Like Me.” Weezy kicks things off with some dirty talk (“I Lollapalooza her good spot”) before Jeremih reprises the hook. In between guest verses for Rita Ora and Kirko Bangz, Fetty adds his golden touch and asks his […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani