Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO MPYA: NIKIMUONA - AVRIL

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Avril (Kenya) — Nikimuona

Sikiliza wimbo mpya wa msanii wa Kenya, Avril uitwao ‘Nikimuona’.

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’

avril

Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.

avril

Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana ataja gharama ya video mpya ya Avril ‘ No Stress’ na mtu aliyewakutanisha

Avril bts

Video mpya ya Avril wa Kenya aliyomshirikisha AY ‘No Stress’ iliyoongozwa na director wa Tanzania, Hanscana imepata mapokezi mazuri kutoka kwa mashabiki wa muziki walioisifia toka siku ya kwanza ilipowekwa Youtube November 15, 2015.

Avril bts

Uzuri na ubora wa video hiyo umebebwa na uwezo na ubunifu wa director na timu nzima iliyohusika, pamoja na bajeti ya kuridhisha iliyotumika katika kuandaa video hiyo iliyoshutiwa Dar.

Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa video pekee, kwa maana ya ku-design location,...

 

9 years ago

MillardAyo

2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video)

Mkali wa R&B kutoka Bongo TZ, Ben Pol anafunga mwaka 2015 huku akiacha kumbukumbu nzuri za headlines za hit ya ngoma ya ‘Sophia‘ ambayo imependwa na bado inapendwa na wengi… ukali wa ngoma hiyo ulifanya akina Quick Rocka, Peter Msechu nao kuingia studio kuiimbia copy ya aina yake, hicho ni kitu ambacho sio mara nyingi […]

The post 2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: BEN POL ft. AVRIL & ROSSIE M - NINGEFANYAJE (Official Video)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Avril ft. Ommy Dimpoz — Hello Baby

Baada ya kuachia audio ya wimbo wake mpya aliomshirikisha Ommy Dimpoz siku chache zilizopita, mwimbaji wa Kenya Avril tayari ametoa video ya wimbo huo uitwao ‘Hello Baby’. Itazame hapa.

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Mambo 3 usiyoyajua kuhusu Avril (Video)

Muimbaji wa Kenya, Avril amekuja nchini kuungana na Ben Pol katika ziara ya kuutambulisha wimbo wao ‘Ningefanyaje.’ Pamoja na ziara hiyo, Avril ameshoot video ya wimbo aliomshirikisha AY inayoongozwa na Hanscana. Haya ni mambo matatu usiyoyajua kuhusu msanii huyo. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote […]

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Ben Pol ft. Avril & Rossie M – Ningefanyaje

Untitled_13.5.1

Hatimaye Ben Pol ameachia video yake mpya ya ‘Ningefanyaje’ aliyowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M. Hii ndio video ya kwanza kwa Ben kufanya na director wa nje kwa kutumia location ya nje ya Tanzania. Imeshutiwa Afrika Kusini na kuongozwa na Justin Campos wa Gorilla Films.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Avril kuzindua video ya No Stress aliomshirikisha AY Jumamosi hii Nairobi

12093698_974532162609683_931018265_n

Muimbaji wa Kenya, Avril atafanya uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ Jumamosi hii jijini Nairobi.

12093698_974532162609683_931018265_n

Uzinduzi wa video hiyo utafanyika Skyluxx Lounge, Westlands jijini humo. Avril amemshirikisha AY kwenye wimbo huo na video imeongozwa na Hanscana.

Pamoja na Avril na AY, wasanii wengine watakaotumbuiza ni King Kaka na Femi One.

“Saturday night for me is about meeting my fans and my industry mates to have a good time.I would like guys to go back home having taken a piece of my...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani