VIDEO MPYA: NIKIMUONA - AVRIL
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Nov
New Music: Avril (Kenya) — Nikimuona
9 years ago
Bongo517 Nov
New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’
![avril](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/avril-300x194.jpg)
Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.
Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...
9 years ago
Bongo517 Nov
Hanscana ataja gharama ya video mpya ya Avril ‘ No Stress’ na mtu aliyewakutanisha
![Avril bts](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Avril-bts-300x194.jpg)
Video mpya ya Avril wa Kenya aliyomshirikisha AY ‘No Stress’ iliyoongozwa na director wa Tanzania, Hanscana imepata mapokezi mazuri kutoka kwa mashabiki wa muziki walioisifia toka siku ya kwanza ilipowekwa Youtube November 15, 2015.
Uzuri na ubora wa video hiyo umebebwa na uwezo na ubunifu wa director na timu nzima iliyohusika, pamoja na bajeti ya kuridhisha iliyotumika katika kuandaa video hiyo iliyoshutiwa Dar.
Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa video pekee, kwa maana ya ku-design location,...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video)
Mkali wa R&B kutoka Bongo TZ, Ben Pol anafunga mwaka 2015 huku akiacha kumbukumbu nzuri za headlines za hit ya ngoma ya ‘Sophia‘ ambayo imependwa na bado inapendwa na wengi… ukali wa ngoma hiyo ulifanya akina Quick Rocka, Peter Msechu nao kuingia studio kuiimbia copy ya aina yake, hicho ni kitu ambacho sio mara nyingi […]
The post 2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video) appeared first on...
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: BEN POL ft. AVRIL & ROSSIE M - NINGEFANYAJE (Official Video)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Bongo520 Jan
New Video: Avril ft. Ommy Dimpoz — Hello Baby
9 years ago
Bongo527 Sep
Exclusive: Mambo 3 usiyoyajua kuhusu Avril (Video)
9 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Ben Pol ft. Avril & Rossie M – Ningefanyaje
![Untitled_13.5.1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Untitled_13.5.1-300x194.jpg)
Hatimaye Ben Pol ameachia video yake mpya ya ‘Ningefanyaje’ aliyowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M. Hii ndio video ya kwanza kwa Ben kufanya na director wa nje kwa kutumia location ya nje ya Tanzania. Imeshutiwa Afrika Kusini na kuongozwa na Justin Campos wa Gorilla Films.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo512 Nov
Avril kuzindua video ya No Stress aliomshirikisha AY Jumamosi hii Nairobi
![12093698_974532162609683_931018265_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12093698_974532162609683_931018265_n-300x194.jpg)
Muimbaji wa Kenya, Avril atafanya uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ Jumamosi hii jijini Nairobi.
Uzinduzi wa video hiyo utafanyika Skyluxx Lounge, Westlands jijini humo. Avril amemshirikisha AY kwenye wimbo huo na video imeongozwa na Hanscana.
Pamoja na Avril na AY, wasanii wengine watakaotumbuiza ni King Kaka na Femi One.
“Saturday night for me is about meeting my fans and my industry mates to have a good time.I would like guys to go back home having taken a piece of my...