Video: Tamar Braxton – Angels & Demons
Tamar Braxton ni mdogowake na msanii Ton Braxton ameachia video mpya wimbo unaitwa “Angels & Demons” wimbo huu utakuwa unapatikana katika album yake mpya inaitwa “Calling All Lovers” ambayo itatoka Oct. 2. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Nov
Afya yamzuia Tamar Braxton kutumbuiza na Diamond, AKA, Mary J Blige, Dec 12, Johannesburg
![10593266_1029379683768238_1651025961_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10593266_1029379683768238_1651025961_n-300x194.jpg)
Muimbaji wa Marekani, Tamar Braxton hatoweza tena kutumbuiza December 12 kwenye BET Experience Africa jijini Johannesburg kutokana na afya yake kutomruhusu.
Ilibainika mapema mwezi huu kuwa muimbaji huyo alikuwa na ‘blood clots’ kwenye mapafu yake baada ya kushiriki kwenye kipindi cha TV, Dancing with the Stars.
Baada ya kulazwa, Braxton alilazimika kujiondoa kwenye show hiyo na kuahirisha ziara zake za muziki alizokuwa amepanga kufanya.
Wasanii waliobaki kwenye BET Experience Africa ni...
9 years ago
Bongo521 Oct
Diamond kuungana na Tamar Braxton, Maxwell, Flavour na wengine kwenye BET Experience Africa, Dec 12
9 years ago
Bongo503 Nov
Young Thug kuungana na Diamond, Tamar Braxton, Maxwell na wengine kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’
![thug](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/thug-300x194.png)
BET wamemwongeza rapper Young Thug wa Marekani, kwenye orodha ndefu ya wasanii wa kimataifa na kutoka Afrika watakaotumbuiza kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’ lililopangwa kufanyika December 12, jijini Johannesburg, Afrika kusini.
Rapper huyo ataungana na wasanii wengine waliokuwa tayari wametangazwa kutumbuiza akiwemo Diamond Platnumz, Tamar Braxton, Maxwell, Flavour na Aka.
Diamond ndiye msanii pekee wa Afrika mashariki aliyetajwa kutumbuiza kwenye tamasha hilo hadi sasa. ...
9 years ago
Bongo510 Oct
Video: Kcee Feat. Uhuru & DJ Buckz – Talk & Do
9 years ago
Bongo524 Nov
Video: Puff Daddy & The Family feat. Travis Scott & Big Sean – ‘Workin (Remix)’
![bs-workin](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/bs-workin-300x194.jpg)
Baada ya kuachia album yake ya MMM, Mkurugenzi wa lebo ya Bad Boy Entertainment, P Diddy ameachia video mpya ya remix ya “Workin”. Amewashirikisha Travis Scott na Big Sean hii ni single inayopatikana kwenye Album hii mpya ya Diddy.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo504 Dec
Video: Raph Tz Ft. One Six,Uncrekable & Miracle – I Can
![Cover I Can 2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Cover-I-Can-2-300x194.jpg)
Video mpya ya msanii rapper Raph Tz wimbo unaitwa “I Can”, Amewashirikisha One Six,Uncrekable na Miracle, Video imeongozwa na Erick Backamaza.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo529 Sep
New Video: Nyanda (Brick & Lace) – All My Love
9 years ago
Bongo504 Nov
Video: Nonini Ft Chege & Dj Pierra – Wanajishuku
![Screen-Shot-2015-11-02-at-5.55.46-PM](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Screen-Shot-2015-11-02-at-5.55.46-PM-300x194.png)
Kenyan rap legend also known as Nonini MgengeTrue has been on a roll this Month. Barely a few weeks after he released Mchezo Na Ganji yet another Brand new Video dubbed “WANAJISHUKU” is here.
“Wanajishuku” his latest track features TMK Wanaume’s Chege and Kenya’s number one deejay DJ Pierra Mackena. “Wanajishuku” is Nonini’s second collaboration with a Tanzanian artist Chege after Kila Mmoja became a massive success in East Africa. The chemistry between the two East African Artists is...