Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond kuungana na Tamar Braxton, Maxwell, Flavour na wengine kwenye BET Experience Africa, Dec 12

Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ndefu ya wasanii wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye show ya BET Experience Africa, Dec 12 jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Staa huyo wa Nana ataungana na wasanii wengine wa Afrika na Marekani wakiwemo Tamar Braxton, Maxwell na Flavour. Wasanii wengine wanaendelewa kutajwa zaidi. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Young Thug kuungana na Diamond, Tamar Braxton, Maxwell na wengine kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’

thug

BET wamemwongeza rapper Young Thug wa Marekani, kwenye orodha ndefu ya wasanii wa kimataifa na kutoka Afrika watakaotumbuiza kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’ lililopangwa kufanyika December 12, jijini Johannesburg, Afrika kusini.

thug

Rapper huyo ataungana na wasanii wengine waliokuwa tayari wametangazwa kutumbuiza akiwemo Diamond Platnumz, Tamar Braxton, Maxwell, Flavour na Aka.

Young Thug sa

Diamond ndiye msanii pekee wa Afrika mashariki aliyetajwa kutumbuiza kwenye tamasha hilo hadi sasa. ...

 

9 years ago

Bongo5

Mary J. Blige aungana na Diamond, Young Thug, AKA, Flavour na wengine kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’

mary J

Orodha ya wasanii wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye tamasha la la BET Experience Africa linalotarajiwa kufanyika December 12, 2015 jijini Johannesburg, Afrika Kusini inazidi kuongezeka.

mary J

Muimbaji mkongwe wa Rnb na mshindi wa tuzo ya Grammy, Mary J Blige kutoka Marekani metangazwa kuungana na wasanii wengine waliokuwa wameishatajwa akiwemo staa wetu Diamond Platnumz.

Miongoni mwa hit songs za Mary J. Blige ni pamoja na ‘Family Affair’, ‘No More Drama’ pamoja na ‘Be Without You’.

Wasanii...

 

9 years ago

Bongo5

Afya yamzuia Tamar Braxton kutumbuiza na Diamond, AKA, Mary J Blige, Dec 12, Johannesburg

10593266_1029379683768238_1651025961_n

Muimbaji wa Marekani, Tamar Braxton hatoweza tena kutumbuiza December 12 kwenye BET Experience Africa jijini Johannesburg kutokana na afya yake kutomruhusu.

10593266_1029379683768238_1651025961_n

Ilibainika mapema mwezi huu kuwa muimbaji huyo alikuwa na ‘blood clots’ kwenye mapafu yake baada ya kushiriki kwenye kipindi cha TV, Dancing with the Stars.

Baada ya kulazwa, Braxton alilazimika kujiondoa kwenye show hiyo na kuahirisha ziara zake za muziki alizokuwa amepanga kufanya.

Wasanii waliobaki kwenye BET Experience Africa ni...

 

9 years ago

Bongo5

Top Comedian Churchill and Diamond to represent East Africa in BET Experience

churchill

The festive season gets started with music, comedy, fashion, fun and car shows at the inaugural Black Entertainment Television (BET) Experience Africa. BET is a US Festival concept, combining a variety of shows and activities that are held at the same place at the same time.

churchill
Daniel “Churchill” Ndambuki

The event will be held at the Ticket Pro Dome in Northgate, on December 12 that is this coming Saturday. Alex Okosi, the local MD of Viacom Entertainment in Africa, says: “We chose SA because...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tamar Braxton – Angels & Demons

Tamar Braxton ni mdogowake na msanii Ton Braxton ameachia video mpya wimbo unaitwa “Angels & Demons” wimbo huu utakuwa unapatikana katika album yake mpya inaitwa “Calling All Lovers” ambayo itatoka Oct. 2. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia […]

 

9 years ago

Bongo5

Flavour kumshirikisha Diamond kwenye ngoma mpya

Mafanikio ya Nana aliyoshirikishwa na Diamond Platnumz yamemfanya msanii wa Nigeria, Flavour naye kumshirikisha staa huyo wa Tanzania. Tangu itoke miezi minne iliyopita video ya Nana imefikisha zaidi ya views milioni 4.7 kwenye Youtube na tayari inawania tuzo kadhaa za kimataifa. Flavour aliiambia website ya DSTV kuwa wimbo aliomshirikisha Diamond utatoka siku za usoni. Flavour […]

 

11 years ago

CloudsFM

DIAMOND ANAENDELEA KUKIMBIZA KWENYE KURA ZA MAONI BET

Kwenye mchakato wa kuelekea kwenye tuzo za BET, msanii pekee anayeiwakilisha Afrika Mashariki kwenye tuzo hizo kipengele cha Best International Act Diamond Platnumz anaendelea kumwacha mbali msanii ambaye anaonekana kuwa tishio kidogo kwake Davido kutoka nchini Nigeria, hiyo ni kwa nguvu za Watanzania, Wakenya,Waganda,Rwanda na Burundi,ili kumwezesha Diamond Platnumz kuchukua tuzo hiyo inatakiwa kucoment kwenye mitandao ya kijamii inayoendeshwa na BET Facebook,Twitter na Instagram.Mpaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani