Diamond kuungana na Tamar Braxton, Maxwell, Flavour na wengine kwenye BET Experience Africa, Dec 12
Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ndefu ya wasanii wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye show ya BET Experience Africa, Dec 12 jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Staa huyo wa Nana ataungana na wasanii wengine wa Afrika na Marekani wakiwemo Tamar Braxton, Maxwell na Flavour. Wasanii wengine wanaendelewa kutajwa zaidi. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Nov
Young Thug kuungana na Diamond, Tamar Braxton, Maxwell na wengine kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’
![thug](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/thug-300x194.png)
BET wamemwongeza rapper Young Thug wa Marekani, kwenye orodha ndefu ya wasanii wa kimataifa na kutoka Afrika watakaotumbuiza kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’ lililopangwa kufanyika December 12, jijini Johannesburg, Afrika kusini.
Rapper huyo ataungana na wasanii wengine waliokuwa tayari wametangazwa kutumbuiza akiwemo Diamond Platnumz, Tamar Braxton, Maxwell, Flavour na Aka.
Diamond ndiye msanii pekee wa Afrika mashariki aliyetajwa kutumbuiza kwenye tamasha hilo hadi sasa. ...
9 years ago
Bongo527 Nov
Mary J. Blige aungana na Diamond, Young Thug, AKA, Flavour na wengine kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’
![mary J](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mary-J-300x194.jpg)
Orodha ya wasanii wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye tamasha la la BET Experience Africa linalotarajiwa kufanyika December 12, 2015 jijini Johannesburg, Afrika Kusini inazidi kuongezeka.
Muimbaji mkongwe wa Rnb na mshindi wa tuzo ya Grammy, Mary J Blige kutoka Marekani metangazwa kuungana na wasanii wengine waliokuwa wameishatajwa akiwemo staa wetu Diamond Platnumz.
Miongoni mwa hit songs za Mary J. Blige ni pamoja na ‘Family Affair’, ‘No More Drama’ pamoja na ‘Be Without You’.
Wasanii...
9 years ago
Bongo530 Nov
Afya yamzuia Tamar Braxton kutumbuiza na Diamond, AKA, Mary J Blige, Dec 12, Johannesburg
![10593266_1029379683768238_1651025961_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10593266_1029379683768238_1651025961_n-300x194.jpg)
Muimbaji wa Marekani, Tamar Braxton hatoweza tena kutumbuiza December 12 kwenye BET Experience Africa jijini Johannesburg kutokana na afya yake kutomruhusu.
Ilibainika mapema mwezi huu kuwa muimbaji huyo alikuwa na ‘blood clots’ kwenye mapafu yake baada ya kushiriki kwenye kipindi cha TV, Dancing with the Stars.
Baada ya kulazwa, Braxton alilazimika kujiondoa kwenye show hiyo na kuahirisha ziara zake za muziki alizokuwa amepanga kufanya.
Wasanii waliobaki kwenye BET Experience Africa ni...
9 years ago
Bongo510 Dec
Top Comedian Churchill and Diamond to represent East Africa in BET Experience
![churchill](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/churchill-300x194.jpg)
The festive season gets started with music, comedy, fashion, fun and car shows at the inaugural Black Entertainment Television (BET) Experience Africa. BET is a US Festival concept, combining a variety of shows and activities that are held at the same place at the same time.
Daniel “Churchill” Ndambuki
The event will be held at the Ticket Pro Dome in Northgate, on December 12 that is this coming Saturday. Alex Okosi, the local MD of Viacom Entertainment in Africa, says: “We chose SA because...
9 years ago
Bongo518 Sep
Video: Tamar Braxton – Angels & Demons
9 years ago
Bongo516 Sep
Flavour kumshirikisha Diamond kwenye ngoma mpya
11 years ago
CloudsFM03 Jun
DIAMOND ANAENDELEA KUKIMBIZA KWENYE KURA ZA MAONI BET
Kwenye mchakato wa kuelekea kwenye tuzo za BET, msanii pekee anayeiwakilisha Afrika Mashariki kwenye tuzo hizo kipengele cha Best International Act Diamond Platnumz anaendelea kumwacha mbali msanii ambaye anaonekana kuwa tishio kidogo kwake Davido kutoka nchini Nigeria, hiyo ni kwa nguvu za Watanzania, Wakenya,Waganda,Rwanda na Burundi,ili kumwezesha Diamond Platnumz kuchukua tuzo hiyo inatakiwa kucoment kwenye mitandao ya kijamii inayoendeshwa na BET Facebook,Twitter na Instagram.
Mpaka...