Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video ya Lord Eyez alivyotokea show ya WEUSI Arusha usiku wa mwaka mpya !

Ni kitambo hatujamuona Lord Eyez kwenye stage na WEUSI wenzake, sasa hii imetokea nyumbani kwao Arusha usiku wa kuamkia mwaka mpya 2016 baada ya Joh Makini, G Nako na Nikki wa II kutangaza kupiga show mbele ya watu wa home, kilichotokea chote kipo kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]

The post Video ya Lord Eyez alivyotokea show ya WEUSI Arusha usiku wa mwaka mpya ! appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Weusi kuzindua video zao 5 mpya kwenye show ya ‘Funga mwaka la Weusi’ Jumamosi hii Dar

Familia ya Weusi inaendelea kuonesha matunda ya muungano wao, wakiwa wanaendelea na ziara ya show zao za Funga mwaka, wiki hii Weusi wanatarajia kuzindua video zao tano kwa mpigo pale Escape One, jijini Dar es salaam. Msemaji wa kundi hilo Nikki Wa Pili amezitaja video watakazozindua Jumamosi hii November 29, kuwa ni video yake ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Bado yupo na Weusi? Lord Eyez ausema ukweli

WEUSI_full

Kwa muda mrefu kumekuwepo na sintofahamu iwapo rapper Lord Eyez bado ni member wa kundi la Weusi.

WEUSI_full

Wao wenyewe Weusi walidai kuwa Lord Eyez haonekani akifanya juhudi za kuachia ngoma yoyote wala kushirikiana na wenzake.

Hata hivyo Lord Eyez amesema bado yupo fresh na kundi hilo na anatarajia kuachia ngoma mbili, ‘Hardcore’ na ‘Shida Mpya’ alizomshirikisha member wa kundi hilo G -Nako.

Amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV kuwa sasa amejipanga vizuri kwaajili ya kufanya...

 

10 years ago

Bongo5

Nick wa Pili azungumzia hatma ya Lord Eyez ndani ya Weusi

Msemaji wa kampuni ya Weusi, Nick wa Pili amewataka mashabiki wao kuendelea kuwa na subiri kuhusu taarifa rasmi ya lini Lord Eyez atarejea tena akiwa chini ya kampuni hiyo. Nick alikuwa akiongea na Bongo5 na kusema: Akirudi tutatoa taarifa bado hatujatoa taarifa rasmi. Kwahiyo sasa hivi hakuna tamko lolote. Kama tuliweza kutoa tangelo la kumsimamisha […]

 

9 years ago

Bongo5

Adhabu ya Lord Eyez ilishaisha lakini hatujui kwanini bado haonekani ofisini – Weusi

WEUSI_full

Lord Eyez ni mmoja wa wasanii wa kundi na kampuni ya Weusi hadi sasa, lakini ni muda mrefu hajaonekana wala kazi zake kusikika kama wenzake kina Joh Makini, Nikki Wa Pili, Bonta na G-Nako.

WEUSI_full

Maswali ambayo Weusi wamekuwa wakiulizwa kuhusu Lord Eyez ni kuhusu kama bado yuko nao na kwanini hajasikika kwa muda mrefu.

Mwezi March mwaka huu Weusi walimsimamisha Lord Eyez kikazi kutokana na kukiuka maadili na sheria za kampuni yao, kufuatia taarifa kuwa alikamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa...

 

9 years ago

Bongo5

Lord Eyez aupania mwaka 2016

Lord Eyes

Rapa kutoka Weusi, Lord Eyez ameonesha kuupania mwaka 2016, kuufanya uwe ni mwaka wa kulipa madeni yote anayodaiwa na mashabiki wake waliomkosa kwa kipindi kirefu.

Lord Eyes

Ukimya wake uliosababisha kuwepo na maswali mengi likiwemo la kama ametengana na Weusi ulivunjwa na rapa huyo hivi karibuni alipoweka wazi kuwa bado yupo Weusi.

“Napenda kuwaambia mashabiki zangu kuwa mwaka 2016 ni mwaka wangu sasa kufanya kweli, kwani ukimya wangu umeendana na kupika kazi mpya na mpaka sasa nimeshafanya kazi...

 

9 years ago

Mtanzania

Weusi kufunga mwaka Arusha

WeusiNA CHRISTOPHER MSEKENA

KUNDI la muziki wa hip hop nchini, Weusi linatarajia kufunga mwaka na kuufungua mwaka mpya nyumbani kwao Arusha katika viwanja tofauti tofauti.

Akizungumza na MTANZANIA moja ya wasanii wanaounda kundi hilo, Nikki wa Pili alisema kuwa wameamua kufunga mwaka nyumbani kwao kwa sababu mwaka mzima walikuwa wakifanya maonyesho maeneo mengine ya Tanzania.

“Tunarudi nyumbani kutoa burudani kwa mashabiki wetu, kwa mwaka mzima tumekuwa tukifanya maonyesho maeneo mbalimbali...

 

5 years ago

Bongo5

Weusi wana Utengano, Ubinafsi na Wivu – Lord Eyes

Msanii wa muziki wa hip hop ambaye aliyekua katika Kundi la Weusi, Lord Eyes, amefunguka mengi kuhusu kundi hilo baada ya kuonekana kufanya kazi peke yake.

Kundi hilo ambalo lilikuwa likiundwa na wasanii 5, Joh Makini, Nikki wa Pili, G Nako, Bonta pamoja na Lord Eyes, limebaki na wasanii watatu tu ambao ni Joh Makini, Nikki wa Pili na G Nako pekee.

Akiongea katika kipindi cha XXL cha Clouds FM wiki hii, Lord Eyes amesikika akidai kundi hilo limejaa utengano, ubinafsi na wivu.

“Hatujawahi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani