Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video ya Popo Lipopo ya Pam D kuachiwa Jumatatu

IMG-20151229-WA0029

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Pam D Ft Mesen Selekta – Popo lipopo

Popolipo

Mwanadada Pam D ameachia video mpya ya wimbo unaitwa “Popo lipopo” amemshirikisha Mesen Selekta, Video imeongozwa na kampuni ya Kwetu Studio.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Global Publishers

9 years ago

Bongo5

Chege kuachia video mpya Jumatatu ijayo

Chege

Baada ya kukaa kwa wiki kibao nchini Afrika Kusini, Chege amerejea nchini Jumatano hii.

Chege

Jumatano ijayo ataachia video ya wimbo aliomshirikisha msanii wa Nigeria, Runtown.

Chege ameiambia Bongo5 kuwa akiwa nchini humo pia alikutana na wahusika wa TV mbalimbali kubwa za Afrika ili kutambulisha kazi yake mpya na kupewa ratiba ya uzinduzi.

“Nilikuwa kwenye mzungumzo ya kupewa ratiba ya kuachia video kwenye TV kubwa na nashukuru Mungu nimerudi jana na leo nitapewa ratiba kwaajili ya TV za nje,...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Campos kutambulishwa na MTV Base Jumatatu Nov.23

Shaa MTV

Ile video mpya ya Shaa aka Malkia wa Uswazi, ‘Toba’ aliyoshoot na muongozaji Justin Campos wa Afrika Kusini na kukaa nayo ndani kwa muda mrefu, sasa itatambulishwa Jumatatu ya November 23.

Shaa MTV

Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza na kituo cha MTV Base kupitia segement yao ya kutambulisha video mpya ‘Spanking New’, saa 12 za jioni saa za Afrika Mashariki.

Wimbo na video hiyo ni muendelezo wa kazi za Shaa kwenye mkataba wake na Said Fella pamoja na Babu Tale ambao pia ndio walihusika na...

 

10 years ago

Mtanzania

‘Maalim Seif ni Popo’

maalim seif sharif hamad

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad

NA MAREGESI PAUL, DODOMA

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF), amemshambulia kwa maneno Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Maalim Seif Sharif Hamad, huku akimfananisha na popo.

Mbunge huyo alisema hayo baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema lengo ni kujibu mashambulizi yaliyoelezwa kwake na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani