Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viera kocha mpya wa New York City

Kiungo wa zamani wa timu za Arsenal na Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya New York City.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Patrick Vieira ateuliwa kuwa kocha mpya wa New York City

patrick-vieira_3238775b

Mchezaji na kiungo wa zamani ufaransa na timu za Arsenal na Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya New York City.

patrick-vieira_3238775b

Vieira mwenye miaka 39 amesaini mkataba wa miaka mitatu kuifundisha timu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Marekani.

Vieira alikuwa kocha wa kikosi cha vijana wa chini ya umri wa 21 cha Manchester City. Vieira ni miongoni mwa nyota wa timu ya taifa ya Ufaransa waliotwaa kombe la dunia mwaka 1998.

Vieira ataanza kazi hiyo rasmi Januari 1,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Vieira ateuliwa kuwa kocha wa New York City FC

4644

Kocha mpya wa New York City, Patrick Vieira.

new-york-city-fc-2015-roster

Kikosi cha New York City.

Na Rabbi Hume

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na kocha wa timu kukuzia vipaji ya vijana ya Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya New York City inayoshiriki ligi kuu ya nchini Marekani MSL.

Uteuzi wa Vieira umekuja ikiwa ni siku sita (6) tangu kutimuliwa kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo Jason Kreis.

Vieira ambae anaiongoza timu ya vijana kuangalia maendeleo ya vijana alijiunga na timu hiyo 2013...

 

9 years ago

Vijimambo

Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.


Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania. 

The idea behind the Fest is to celebrate Tanzanian culture with Tanzanians, taste makers, previous/ future travelers and others who are curious to know more or experience our culture and more. Some of the highlight of the event will be Tanzanian...

 

10 years ago

Vijimambo

UKODAK WA VIJIMAMBO NEW YORK CITY

Msanii wa kizazi kipya Mwana FA (kushoto) wakipata chai katika moja ya mgahawa New York City kujaribu kukabiliana na kipupwe kinachopuliza jiji la wasiolala wengine katika picha kutoka kushoto ni Dj Rich Maka. NY Ebra na Salah Said.NY Ebra akipata supu kuikabili baridi ya New York City

 Rich, Fa na Salaa wakiwa Jfk tayari kupanda pipa kurudi Tanzania na Rich kushoto akiwaaga marafiki zake.


 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YA NEW YORK CITY HAYO

Ukiwa New York City usikose kufika eneo la Times Square kwani kuna mambo mengi ya kuvutia mwanzo mwisho hiwe mchana au usiku Times Square ni sehemu itakayo kufanya ubakie na mshangao na pia kusmile kwenye uso wako.

 

9 years ago

Vijimambo

MSAMI WA RADIO UN NEW YORK CITY

Msami wa radio UN New York City  anawatakia amani Watanzania wote kwenye uchaguzi, anasema kuna maisha baada ya uchaguzi.

 

10 years ago

Vijimambo

MAAFA MINGINE NEW YORK CITY

Maafa haya yametokea New York Friday na kusabaisha watu 22 majeruhi na watu wawili kupotea hadi sasa hawajulikani walipo. Inasemekana Gas ndani ya restaurant ndiyo ilisababisha maafa ya moto huu ulioteketeza  majengo matatu  pamoja na restaurant ya Sushi Park kwenye barabara ya 2 maeneo ya East Village New York majira ya saa tisa jioni na kusababisha shughuli za maeneo hayo kusimama na watu kukimbia ovyo. Inasemekana mmiriki wa restaurant hiyo alisikia harufu ya gas dakika 15 kabla ya moto...

 

11 years ago

Michuzi

Social Hour this Saturday, May 24 in New York City

"Maendeleo, an NGO formed by Tanzanians living in the US to do development work in Tanzania, is having its Social Hour this Saturday, May 24 in New York City. Date: Sat May 24, 5pm - Location: Cinema Cafe, Corner of 3rd Avenue and 34th St., New York. Come and meet with like-minded Tanzanians and Maendeleo Board, and also get to hear about our upcoming programs for the year! See you all on Saturday evening. Please RSVP if you are coming to: maendeleo@gmail.com.
Maendeleo...

 

10 years ago

Vijimambo

KISIWA CHA MANHATTAN NEW YORK CITY

Hili ndiyo jiji la wasilolala New York City muonekano wa vikwangua anga vyake wakati wa usiku, Manhattan ni kisiwa kilichozungukwa na maji upande wa West Side ni Hudson River, upande wa East side ni East Side River, South Side ni Bahari na North ni Harlem River.
Kwaiyo kuingia Manhattan unaitaji kuvuka maji njia za kuvuka maji hayo mi Tunnel na Bridge. Upande wa East Manhattan imepakana na Queens, Upande kwa South ni Brooklyn upande wa North ni Bronx na West ni New Jersey. New York ina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani