KISIWA CHA MANHATTAN NEW YORK CITY
![](http://2.bp.blogspot.com/-b3MecAZDpdw/VCEGJUmu3nI/AAAAAAADFLA/xlqz6hl1uYU/s72-c/10473398_10152316349771366_7294157062471395456_n.jpg)
Hili ndiyo jiji la wasilolala New York City muonekano wa vikwangua anga vyake wakati wa usiku, Manhattan ni kisiwa kilichozungukwa na maji upande wa West Side ni Hudson River, upande wa East side ni East Side River, South Side ni Bahari na North ni Harlem River.
Kwaiyo kuingia Manhattan unaitaji kuvuka maji njia za kuvuka maji hayo mi Tunnel na Bridge. Upande wa East Manhattan imepakana na Queens, Upande kwa South ni Brooklyn upande wa North ni Bronx na West ni New Jersey. New York ina...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DRBLrIo3FXA/Vembk69YDjI/AAAAAAAD6JE/DKxQzCcQVyQ/s72-c/Buffet-Table.jpeg)
Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DRBLrIo3FXA/Vembk69YDjI/AAAAAAAD6JE/DKxQzCcQVyQ/s640/Buffet-Table.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8lbHhaP8bwQ/Vembl8TbKiI/AAAAAAAD6JM/DQRbk1S_POo/s640/COT-NYtravFest-2014-1-e1438601902521.jpg)
Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.
The idea behind the Fest is to celebrate Tanzanian culture with Tanzanians, taste makers, previous/ future travelers and others who are curious to know more or experience our culture and more. Some of the highlight of the event will be Tanzanian...
10 years ago
Vijimambo10 May
MAMA WA UPENDO, KISIWA CHA IMANI
![](http://www.misosi.co.tz/acmemisosi/images/blog/27bd27b6781e932cf9b946fd491c561d9b5bb245.jpeg)
Mama alitabasamu wakati unalia mama alijifanya uchizi ili kukufurahisha ghafla ungetokea kuwaona mtoto anapocheza na mama yake ungelidhani wote ni watoto kwa mapenzi ya mama.
Mwanadamu tambua unaweza umizwa na wengi lakini upendo wa mama ukakufanya utulie na hakuna mapenzi ya kweli kwa mtu kama mapenzi ya mama.
Mama juu yako baya likikukuta mama...
10 years ago
Habarileo06 Nov
‘Kisiwa cha Pemba si sehemu ya Kenya’
SERIKALI imekanusha madai yanayosambazwa na vyombo vya habari vya Kenya kwamba Kisiwa cha Pemba ni sehemu ya Kenya.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EOpwQkz6SQY/Uxc39uZTnGI/AAAAAAAFRQ4/xQCAZjELU5s/s72-c/unnamed+(40).jpg)
BALOZI KILUMANGA ATEMBELEA KISIWA CHA ANJOUAN
9 years ago
Habarileo20 Sep
Watano wafariki Kisiwa cha Ilugwa kwa kuhara
WATU watano wakazi wa Kisiwa cha Ilugwa wilaya ya Ukerewe, Mwanza wamepoteza maisha baada ya kuugua ugonjwa wa kuhara na kutapika, huku ikielezwa kuwepo kwa upungufu wa dawa na wataalamu.
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Kisiwa cha Robben; jela ya Mandela alikoishi miaka 17
11 years ago
Michuzi07 Jul
MANDHARI ZA KUVUTIA KUZUNGUKA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA SAANANE
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Kisiwa cha Changuu Z`bar chakodishwa kwa `bei chee`
Waziri wa zamani wa Utalii Biashara na Uwekezaji Zanzibar, Samia Suluhu Hassan(Mgombea mwenza wa Magufuli) Kisiwa cha utalii cha Changuu, kilikodishwa kwa ‘ bei chee’ na kampuni ya Leizure Hotel Limited, ripoti ya Kamati ya Baraza […]
The post Kisiwa cha Changuu Z`bar chakodishwa kwa `bei chee` appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
StarTV28 Sep
Wakazi wa kisiwa cha Pemba waishukuru Serikali Kwakuleta miradi ya maendeleo
Wakazi wa Kisiwa cha Pemba wameiomba Serikali kuweka mifereji kwenye barabara iliyotengenezwa kwa msaada wa Mfuko wa Maendeleo ya Changamoto za Millenia MCC unaofadhiliwa na watu wa Marekani. Wakazi hao pia wameishukuru Serikali kwa juhudi zilizooneshwa za ujenzi wa barabara pamoja na mradi wa maendeleo uliokamilika.
Hata hivyo wasema bado wanakabiliwa na changamoto kubwa ya mvua inaponyesha ambapo maji hutiririka katika nyumba zao na hivyo hushindwa kuishi kwa amani kutokana na...