Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vihoja Kutoka Bongo Movies: Safari Bado ni Ndefu!

Ukisikia kuigiza watu wanaigiza mpaka mavazi.ukimwona kwa mbele kwenye camera Yuko smart! Hii ilikuwa katika shooting . scene mojawapo ya bongo Movies.

By Natasha Mamvi

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Safari bado ni ndefu - Msama

Mtu yeyote anapoanzisha jambo fulani huwa na msukumo uliosababisha kulianzisha. Lakini linaweza kukua na kuwa kitu kikubwa ikiwa ataweka nguvu bila kukata tamaa pindi anapokutana na changamoto wakati wa utekelezaji wa wazo lake.

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya mafanikio ya soka bado ndefu

Kwa muda mrefu sasa Tanzania imekuwa haifanyi vizuri katika mashindano ya kimataifa iwe timu ya Taifa au klabu zinazotuwakilisha katika mashindano ya Afrika.

 

10 years ago

Raia Mwema

Safari bado ndefu kuelekea Ikulu

KWANZA ninaomba radhi kwa safu hii kuadimika kwa takriban wiki mbili mfululizo.

Evarist Chahali

 

11 years ago

Mwananchi

KILIMO: Safari ya mafanikio bado ni ndefu Tanzania

Kilimo ni sekta inayoajiri zaidi ya asilimia 75 ya Watanzania. Hata hivyo bado ukuaji wake ni wa chini ukilinganisha na sekta nyingine kama vile madini, mawasiliano na uchukuzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Safari bado ndefu kwa KKK na mpango wa BRN

Hivi karibuni mpango wa Uwezo uliopo chini ya asasi ya kiraia ya Twaweza, umetoa ripoti yake ya nne ikiwa ni mfululizo wa ripoti zake zenye kichwa kinachouliza je, watoto wetu wanajifunza?

 

11 years ago

Michuzi

VYAMA vya upinzani bado vina safari ndefu kufikia ukongwe na mafanikio ya Chama cha Mapunduzi nchini-Angellah Kairuki.

 "Miaka michache tu wanajigamba, wanapiga kelele, lakini pia kwa kipindi hicho kifupi tayari wameanza mifarakano,Wafanye kazi kubwa kutufikia,"alisema Angellah Kairuki ambaye ni  Mjumbe Baraza la Taifa la Umoja wa Wanawake (UWT), Angellah Kairuki.
Angellah ambaye pia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, aliyasema hayo wakati akizungumza katika sherehe za kuadhimisha miaka 37, ya Chama cha Mapinduzi,  zilizoandaliwa na UWT, kata ya Mabwepande, Kinondoni Dar es Salaam.
Alisifu kwamba hadi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Bado kuna safari ndefu kuimaliza corona - WHO

Watu 106,000 wathibitishwa kuwa na maambukizo ndani ya saa 24.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Ashangazwa na Wanaowaponda Watangaza Nia Kutoka Bongo Movies

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ anawashaanga baadhi ya watu wanaowashambulia na kuwanaoponda kwa maneno wasanii wa bongo movies waliojitokeza kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram, JB aliandika; Nashangaa sana watu wanao toa matusi na maneno ya kejeli kwa wasanii waliotia nia.nasema mnatukosea.sio haki...kama unaona humkubali ni vyema ukanyamaza waachie wapiga kura wa jimbo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani