JB Ashangazwa na Wanaowaponda Watangaza Nia Kutoka Bongo Movies
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ anawashaanga baadhi ya watu wanaowashambulia na kuwanaoponda kwa maneno wasanii wa bongo movies waliojitokeza kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram, JB aliandika; Nashangaa sana watu wanao toa matusi na maneno ya kejeli kwa wasanii waliotia nia.nasema mnatukosea.sio haki...kama unaona humkubali ni vyema ukanyamaza waachie wapiga kura wa jimbo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies12 May
Vihoja Kutoka Bongo Movies: Safari Bado ni Ndefu!
Ukisikia kuigiza watu wanaigiza mpaka mavazi.ukimwona kwa mbele kwenye camera Yuko smart! Hii ilikuwa katika shooting . scene mojawapo ya bongo Movies.
By Natasha Mamvi
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
EXCLUSIVE!!: Mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu na Idris wawakivutio kuapishwa kwa Dk.Magufuli
Wema Sepetu (katikati), Idris Sultan upande wa kulia na kushoto ni Mh. Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji wakipata picha ya pamoja katika jukwaa hilo la kulia ambalo lilikuwa maalum kwa wageni mbalimbali waalikwa na watu maalufu ndani na nje leo wakati wa tukio la kuapichwa kwa Rais wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[TEMEKE-DAR ES SALAAM] Wakati Watanzania na dunia nzima leo Novemba 5, 2015) imeshuhudia kuapishwa kwa rais wa tano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrk1JNwSq3lehIHb5fJXY5CSbi0I8BGNHuKg3BRnW-QzcLTj2IpV2PsVu1vbua4PxKIiGnqsbQvhUfc95oi2DTZ/PMPINDA.jpg?width=650)
WATANGAZA NIA YA URAIS WASICHAFUANE
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Watangaza nia na sanaa ya kujieleza ( 4)
JUMA la jana tuliangazia mambo muhimu ya kuzingatia unapokwenda kutoa hotuba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjbnvQpNfp2fQ7Gowcb6GH34LOehjpjHpnaDNkm5ySmJF7wy3FkUeign4G*yyRqxUwdA4QbR9hcb9Rjf5SwN3xQH6/BONGOMUVI.jpg?width=650)
BONGO MOVIES WAJIFUA KUWAKABILI BONGO FLEVA USIKU WA MATUMAINI IJUMAA HII
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-xZM8uPM5pV-OEZ7vey46gBK7Kfm5Hz3SNg56amNRokRBfLbRUy0IaFraNnh5Hz9CfmQZf7zCkezgPqa4ZJrpBl/bongomuvi.jpg)
BONGO MOVIES TAYARI KUWAKABILI BONGO FLEVA KATIKA USIKU WA MATUMAINI 2014
11 years ago
GPLNIGHT OF HOPE 2014: BONGO FLEVA 1, BONGO MOVIES 0
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUm3Y9acgtPy3wK9tW2h2wOkri2efWEXvabTqhRheB*NuZPdrpT3TF73otn*f0pafpVAvZ4RwoMMlEMTsrSXCMgb/index.jpg?width=650)
BONGO MOVIES KWELI MMEKUBALI KUZIDIWA NA BONGO FLEVA?
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Watangaza nia vijana wamgeuka Pinda
WATANGAZA nia vijana kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemgeuka mtangaza nia mwenzao ambaye pia ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kauli aliyowahi kuitoa bungeni mjini Dodma, maarufu kama ‘piga tu’, wakisema haifai na ni aibu kwa kiongozi.
Vijana hao kwa nyakati tofauti walitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma katika ukumbi wa Chimwaga kwenye mdahalo ulioandaliwa na kipindi cha Mikikimikiki 2015 kinachorushwa na kituo cha Star TV.
Kauli hizo zilikuja baada ya mwanafunzi mmoja wa Chuo...