Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana 100 wajitokeza shindano la ‘shujaa wa kesho’

SHINDANO la Mashujaa wa kesho lililodhaminiwa na Statoil limepamba moto huku vijana zaidi ya 100 mkoani Mtwara wamejitokeza na kuchukua fomu za ushiriki shindano hilo. Kwa mujibu wa Afisa Mawasiliano...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

FAINALI ZA SHINDANO LA DANSI 100% KUFANYIKA KESHO

Kundi bora kuzoa kitita cha shilingi Milioni 5KINYANG'ANILO cha shindano la kukata na shoka la dansi 100% ambalo limekuwa likiendelea kwa kushirikisha makundi mbalimbali vya sanaa chini ya uandalizi wa kituo cha EATV  na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania linafikia kileleni hapo kesho ambapo makundi  matano(5) yatachuana vikali katika kombe pamoja na kitita cha shilingi milioni tano(5) ziotakazokabidhiwa na wadhamini wakuu wa shindano hilo.
Makundi ambayo yatawasha moto kwenye uwanja wa...

 

10 years ago

Vijimambo

DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.

           NUNUA YAKO SASA INGIA..    WWW.DIAMONDUSATOUR.COM AU PIGA 3016616207 NOW.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwisho urejeshaji fomu shindano la mashujaa wa kesho ni kesho

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali

Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali

Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki.1

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.

Na Mwandishi Wetu, Mtwara

WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda.

Akizungumzia zoezi hilo jana...

 

10 years ago

Michuzi

18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015

Baada ya zoezi la kupokea na kusahihisha fomu za washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 kukamilika, takribani washiriki 18 kutoka mikoa tofauti nchini wamefanikiwa kupita katika mchujo wa kwanza kabla ya washiriki watatu kuyaaga mashindano hayo na kubakia 15 ambao ndiyo wataingia kijijini kwa ajili ya kumpata mshindi.
akizungumza na waandishi wa habari mmoja wa majaji waliohusika katika zoezi la kusahihisha fomu za washiriki, Zephania Mugittu alisema kuwa idadi ya washiriki...

 

10 years ago

Michuzi

SHINDANO LA MAMA SHUJAA LAZINDULIWA WILAYANI KISARAWE


Na Mwandishi WetuMkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh.Subira Mgalu amezindua Shindano la Mama Shujaa wa Chakula linaloendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam kupitia kampeni ya Grow lenye lengo la Kumuwezesha Mwanamke katika kilimo na kumkwamua kiuchumi.
Subira ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kumwezesha mwanamke katika kilimo na kumkwa mwanamke kiuchumi iliyofanyika  katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe mkoani Pwani.
Subira amesema kufanyika kwa mashindano wilayani...

 

11 years ago

Michuzi

VIJANA WA NYEGEZI MWANZA WAHAMASISHWA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS LITAKALOFANYIKA KESHO JUMAMOSI ISAMILO LODGE KUANZIA SAA MOJA ASUBUHI

 Msanii wa Filamu Tanzania Elizabeth Michael (Lulu) akikumbatiana na Mmoja wa Mashabiki wa Filamu zake katika Eneo la Nyegezi Mwanza Jioni ya Leo wakati wasanii wa filamu Tanzania walipotembelea eneo hilo kwa lengo la kutambulisha Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents litakaloanza kesho Mkoani Mwanza, Mahali ni Isamilo Lodge Baadhi ya Wakazi wa Nyegezi Mwanza wakiwa wamekusanyika kwaajili ya kuwashuhudia wasanii wa filamu Tanzania...

 

10 years ago

Dewji Blog

18 watajwa kushiriki shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015

Meneja Utetezi na Ushawishi wa Oxfam, Eluka Kibona akifungua mkutano wa kuwatangaza washindi wa waliongia katika shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015.

Majaji, Kutoka Kulia ni Zephaniah Muggitu wa Digital Consulting Ltd, Jairos Mahenge Mhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu, Dora Myinga Mkulima na Mjasiliamali, Mwandiwe Makame Mkulima na Mfugaji, Roselyn Kaihula kutoka Ekama Development.


Ofisa Mahusiano ya Ushawishi  wa Oxfam Tanzania Suhaila Thawer akitoa maelezo...

 

10 years ago

Vijimambo

WASHIRIKI 18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015

Jopo la Majaji, Kutoka Kulia ni Zephaniah Muggitu wa Digital Consulting Ltd, Jairos Mahenge Mhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu, Dora Myinga Mkulima na Mjasiliamali, Mwandiwe Makame Mkulima na Mfugaji, Roselyn Kaihula kutoka Ekama Development Eluka Kibona, Meneja Utetezi na Ushawishi  Oxfam akikaribisha majaji kwa ajili ya kutaja majina ya washindi watakao ingia shindano la Mama shujaa wa Chakula 2015.
 Mmoja wa majaji Zephaniah Muggitu  Akieleza kwa ujumla Jinsi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani