Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana kumekucha fanyeni kazi

Vijana kumesha kucha, juhudi kujitilia, Tulikwenda kutwa kucha, leo tumejipatia, Palikuwa hapajacha, majuto  yalitwingia, Vijana kumesha kucha, sasa tufanyeni kazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KABUDI: WATUMISHI FANYENI KAZI KWA BIDII NA USHIRIKIANO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiongea na watumishi wa wizara wakati wa kikao kilichofanyika jijini Dodoma
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akiongea na watumishi wa wizara wakati wa kikao kilichofanyika jijini Dodoma



Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia kikao kilichofanyika jijini...

 

9 years ago

Michuzi

FANYENI KAZI KWA BIDII ILI MUWEZE KUJILETEA MABADILIKO YA KWELI KATIKA MAISHA YENU - MAMA SALMA KIKWETE

Na Anna Nkinda – Maelezo, Liwale14/10/2015 Wananchi wa mkoa wa Lindi wameaswa kufanya kazi kwa bidii ili waweze kujiletea mabadiliko ya kweli katika maisha yao kwani kuna baadhi ya watu hawapendi kufanya kazi huku wakisubiri mabadiliko.
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa  vijiji vya Ngunichile na Mbaya vilivyopo katika majimbo ya Nachingwea na Liwale (Pichni)waliohudhuria mkutano wa kampeni ya kuwanadi wagombea wa...

 

9 years ago

Michuzi

DODOMA KUMEKUCHA WIKI YA VIJANA KUZINDULIWA RASMI KESHO

 

Baadhi ya wakazi wakiwa katika Banda la Mkoa wa Tanga wakati wa maadhimisho ya 16 ya Wiki ya Vijana ambayo Kitaifa inafanyikia mkoani Dodoma. Maadhimisho ya Wiki ya Vijana uratibiwa na kusimamiwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo chini ya Idara ya Maendeleo ya Vijana ambapo maadhimisho ya mwaka huu ni ya 16 tokea kuasisiwa kwake.Watoto wa Halaiki wakiwa katika maandalizi ya lala salama tayari kwa sherehe za Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kama walivyokutwa na mpiga picha...

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana waaswa kutochagua kazi

Vijana wametakiwa kuepuka mtindo wa kuchagua kazi za kufanya na badala yake, wajishughulishe kwa kufanya kazi zote halali za kujipatia kipato.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana tujitume kufanya kazi

KATIKA jamii ya Kitanzania kijana ana nafasi kubwa ya kukuza uchumi wa taifa. Kijana ni nguvu kazi kubwa inayotegemewa katika taifa hili, hivyo wanapaswa wajitambue. Kila siku tukisema tusubiri miujiza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MNEC awataka vijana kufanya kazi

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Tanga (MNEC), Kasimu Kisauji, amewataka walezi na wazazi wilayani humo kuwahimiza vijana kufanya kazi kwa bidii na kuacha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kalenga fanyeni uamuzi sahihi

WANANCHI wa Kalenga wanaojua kusoma, someni hapa, fundisheni wenzenu, mkichagua ovyo, mkaongozwa ovyo, mtalalamika. Someni taratibu kwa kituo, mtumie vema haki yenu ya kidemokrasia. Nimeona niwakumbushe au kuwafahamisha wasiofahamu. Wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Rungwe fanyeni uchaguzi sahihi’

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) wilayani hapa, Bupe Mpagate amewataka wananchi wa wilaya hiyo hususan wanawake kuitosa CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na badala yake waichague Chadema ili waweze kupigania haki zao kwa vitendo na si vinginevyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani