Vijana waaswa kutochagua kazi
Vijana wametakiwa kuepuka mtindo wa kuchagua kazi za kufanya na badala yake, wajishughulishe kwa kufanya kazi zote halali za kujipatia kipato.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Vijana waaswa kutumia michezo
VIJANA mkoani Arusha, wameshauriwa kutumia michezo kama sehemu muhimu ya kukuza uhusiano na vipaji walivyonavyo ili kujiepusha na mambo yanayoharibu sifa na haiba zao katika jamii. Ushauri huo umetolewa na...
9 years ago
Michuzi17 Sep
VIJANA WAASWA KUACHA UPAPARA
![_MG_1920](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/MG_1920.jpg)
Na Mwandishi wetuVIJANA nchini Tanzania wanatakiwa kujitambua, kuacha kuwa kigeugeu na kufanya papara ya kupata fedha kama wanataka kuendelea na kufanikiwa kibinafsi na kiuchumi.
Kauli...
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUDUMISHA AMANI
Na...
10 years ago
Bongo518 Nov
Vijana waaswa kushiriki mashindano ya teknolojia
10 years ago
Habarileo07 Dec
Vijana waaswa kuchagua viongozi makini
VYAMA vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimewataka vijana kutotumika kama daraja la kupata viongozi wabovu, wasio kuwa na sifa kwa jamii, baada ya kuchukua fedha chafu kutoka kwa watu wanaoomba nafasi ya uongozi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe45Bx*uOV00GyuZ5JSVAzC6jyk8Rs8KKnhFklwiB73hsroxF927tTqePAAPcuMlQAECvbVsM7ipTsbErfU9ySdx/1.jpg?width=650)
VIJANA WAASWA KUJITAMBUA ILI KUONDOKANA NA UMASKINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8akRqokc3GJ6IdUJAeZx5g6czn0HOj2qeMIbMIrY8GC6Ue99AOcoJovuqj4rnPNqBpmzxzuov*yVGCGsI9heCH7/001.APPSTAR.jpg)
VIJANA WAASWA KUSHIRIKI MASHINDANO YA TEKNOLOJIA
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO
10 years ago
StarTV13 Jan
Wananchi waaswa kuchagua viongozi wachapa kazi
Na Sudi Shaaban,
Mwanza.
Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimewataka wananchi kuwa makini kuepuka watakaotaka uongozi kwa kutoa rushwa na badala yake wachague viongozi ambao watakuwa na weledi na wachapa kazi katika taifa.
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu watu mbalimbali wanatajwa kujitokeza kuwania nafasi za uongozi baadhi yao wakijipanga kupata kura kwa kuwalaghai wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu za uchaguzi.
Baadhi ya wananchi wanatajwa kuwa mstari wa...