Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kalenga fanyeni uamuzi sahihi

WANANCHI wa Kalenga wanaojua kusoma, someni hapa, fundisheni wenzenu, mkichagua ovyo, mkaongozwa ovyo, mtalalamika. Someni taratibu kwa kituo, mtumie vema haki yenu ya kidemokrasia. Nimeona niwakumbushe au kuwafahamisha wasiofahamu. Wakati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wakulima fanyeni uamuzi sahihi Uchaguzi Mkuu - RC

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Rajabu Rutengwe amesema Uchaguzi Mkuu ndiyo utakaoamua mustakabali wa wakulima wadogo endapo jamii hiyo itafanya uamuzi sahihi katika kumchagua rais, wabunge na madiwani.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Rungwe fanyeni uchaguzi sahihi’

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) wilayani hapa, Bupe Mpagate amewataka wananchi wa wilaya hiyo hususan wanawake kuitosa CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na badala yake waichague Chadema ili waweze kupigania haki zao kwa vitendo na si vinginevyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete amefanya uamuzi sahihi

Juzi, Rais Jakaya Kikwete aliiagiza Manispaa ya Kinondoni iondoe maji yaliyozingira nyumba za watu mara moja wakati ikitafakari mipango ya muda mrefu ya kukabiliana na mafuriko ya maji jijini Dar es Salaam, ambayo kwa kiasi fulani pia husababishwa na mitaro kujaa uchafu.

 

11 years ago

Mwananchi

Baada ya matokeo Fanya uamuzi sahihi kujiendeleza kielimu

Wapo wanaofuata mkumbo wa kusoma mchepuo (combination) fulani kwa sababu marafiki zao wengi wameuchagua mchepuo huo. Aidha, wapo wanaolazimisha kusoma masomo magumu yaliyo nje ya uwezo wao kiakili.

 

11 years ago

Michuzi

KINANA ATUA KALENGA LEO,AMNADI MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA KWA KISHINDO

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana pichani kushoto na Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba wakimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia chama hicho cha CCM,Ndugu Godfreya Mgimwa,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za lala salama,uliofanyika leo jioni katika kijiji cha Magulilwa kata ya Magulilwa,Iringa vijijini.
Kinana amewataka wakazi wa Kalenga kumpigia kura za kutosha na hatimae kuibuka mshindi kwa maendeleo ya jimbo hilo,hapo siku ya jumapili ambapo...

 

11 years ago

Michuzi

Meya wa Ilala Jerry Silaa,Mwakalebela waishambulia vilivyo Kalenga,wampigia debe la nguvu mgombea ubunge jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa

Pichani shoto ni Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu,Jerry Silaa wakishangilia jambo kwa pamoja na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Ndugu Godfrey William Mgimwa,katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jana kwenye uwanja wa shule ya msingi Katenge katika kijiji cha Mgama,kata ya Mgama,Iringa Vijijini. Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu,Jerry Silaa pichani kulia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPSF: Watanzania fanyeni biashara na UN

TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imehamasisha jumuiya ya wafanyabiashara nchini kuchangamkia fursa za biashara katika Umoja wa Mataifa (UN). Wito huo ulitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Godfrey Simbeye,...

 

9 years ago

Mwananchi

Vijana kumekucha fanyeni kazi

Vijana kumesha kucha, juhudi kujitilia, Tulikwenda kutwa kucha, leo tumejipatia, Palikuwa hapajacha, majuto  yalitwingia, Vijana kumesha kucha, sasa tufanyeni kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani