Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya matokeo Fanya uamuzi sahihi kujiendeleza kielimu

Wapo wanaofuata mkumbo wa kusoma mchepuo (combination) fulani kwa sababu marafiki zao wengi wameuchagua mchepuo huo. Aidha, wapo wanaolazimisha kusoma masomo magumu yaliyo nje ya uwezo wao kiakili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Boniventura: Tuitumie mitandao ya kijamii kujiendeleza kielimu

hakielimu-sept26-2015NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MA F A N I K I O na matokeo mazuri ya elimu kwa wanafunzi yanatokana na juhudi za mwalimu na mzazi kwa kumjengea mtoto mazingira mazuri ya kujifunzia.

Kutokana na hali hiyo, zipo shule mbalimbali ambazo walimu pamoja na wazazi wameungana kwa pamoja kuhakikisha wanawasaidia watoto wao kwa lengo la kuwapatia elimu bora yenye manufaa katika jamii.

Shule ya Sekondari ya Victor iliyopo Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kalenga fanyeni uamuzi sahihi

WANANCHI wa Kalenga wanaojua kusoma, someni hapa, fundisheni wenzenu, mkichagua ovyo, mkaongozwa ovyo, mtalalamika. Someni taratibu kwa kituo, mtumie vema haki yenu ya kidemokrasia. Nimeona niwakumbushe au kuwafahamisha wasiofahamu. Wakati...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Doc:Fanya mahesabu mwenyewe ya matokeo

Nimewatayarishia XLS (openoffice) kwa ajili ya kuhesabu kwa wale wanaokimbia mahesabu.Kwabahati mbaya nimegundua wagombea ni wengi wana kura za kuchanga hivyo nimewaondoa kufanya urahisi kidogo kwa wazalendo watakao jikita kufanya mahesabu: http://mzalendo.net/wp-content/uploads/2015/10/matokeo-2015.ods

The post Doc:Fanya mahesabu mwenyewe ya matokeo appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete amefanya uamuzi sahihi

Juzi, Rais Jakaya Kikwete aliiagiza Manispaa ya Kinondoni iondoe maji yaliyozingira nyumba za watu mara moja wakati ikitafakari mipango ya muda mrefu ya kukabiliana na mafuriko ya maji jijini Dar es Salaam, ambayo kwa kiasi fulani pia husababishwa na mitaro kujaa uchafu.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima fanyeni uamuzi sahihi Uchaguzi Mkuu - RC

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Rajabu Rutengwe amesema Uchaguzi Mkuu ndiyo utakaoamua mustakabali wa wakulima wadogo endapo jamii hiyo itafanya uamuzi sahihi katika kumchagua rais, wabunge na madiwani.

 

10 years ago

Bongo5

Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!

Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]

 

9 years ago

Vijimambo

KIWIA AKANUSHA KUZIMIA BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA. ASEMA ANATARAJIA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI KWANI BADO HAJASAINI MATOKEO.

Na:George Binagi-GB Pazzo
Aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mkoani Mwanza na Mgombea wa nafasi hiyo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Highness Kiwia, anatarajia kufungua kesia ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimboni humo kwa madai kwamba haukuwa wa huru na haki kutokana na kugubikwa na changamoto mbalimbali.
Kiwia ambae ameshindwa kutetea jimbo hilo baada kuchukuliwa na Angelina Mabula kutoka Chama cha Mapinduzi CCM,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji Masipa atishiwa baada ya uamuzi

Mashirika ya kisheria nchini Afrika Kusini,yameelezea wasiwasi kuhusu vitisho dhidi ya jaji aliyetoa uamuzi katika kesi dhidi ya Pistorius.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani