Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete amefanya uamuzi sahihi

Juzi, Rais Jakaya Kikwete aliiagiza Manispaa ya Kinondoni iondoe maji yaliyozingira nyumba za watu mara moja wakati ikitafakari mipango ya muda mrefu ya kukabiliana na mafuriko ya maji jijini Dar es Salaam, ambayo kwa kiasi fulani pia husababishwa na mitaro kujaa uchafu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awaapisha wajumbe wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha wajumbe saba wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam .Wajumbe wa tume hiyo walioapishwa leo ni pamoja na Mwenyekiti wake Bwana Edrissa Mavura,Paul Herbert Kinemela(Kamishna), Bwana Mathias Bazi Kabundunguru(Kamishna),Bwana Njaa Ramadhani(Kamishna)Bwana Jones Kyaruzi Majura(Kamishna), Bwana Jaffari Ally Omari(Kamishna) na Bibi Suzane Charles Ndomba.Pichani ni wajumbe wa tume hiyo wakiwa katika picha ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kalenga fanyeni uamuzi sahihi

WANANCHI wa Kalenga wanaojua kusoma, someni hapa, fundisheni wenzenu, mkichagua ovyo, mkaongozwa ovyo, mtalalamika. Someni taratibu kwa kituo, mtumie vema haki yenu ya kidemokrasia. Nimeona niwakumbushe au kuwafahamisha wasiofahamu. Wakati...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima fanyeni uamuzi sahihi Uchaguzi Mkuu - RC

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Rajabu Rutengwe amesema Uchaguzi Mkuu ndiyo utakaoamua mustakabali wa wakulima wadogo endapo jamii hiyo itafanya uamuzi sahihi katika kumchagua rais, wabunge na madiwani.

 

11 years ago

Mwananchi

Baada ya matokeo Fanya uamuzi sahihi kujiendeleza kielimu

Wapo wanaofuata mkumbo wa kusoma mchepuo (combination) fulani kwa sababu marafiki zao wengi wameuchagua mchepuo huo. Aidha, wapo wanaolazimisha kusoma masomo magumu yaliyo nje ya uwezo wao kiakili.

 

10 years ago

Vijimambo

Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu wanne wapya na kuhamisha mmoja.

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.com

Website : www.ikulu.go.tz              

Fax: 255-22-2113425


  


PRESIDENT’S OFFICE,

      STATE HOUSE,

              1 BARACK OBAMA ROAD,  

11400 DAR ES SALAAM.

Tanzania.

 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu...

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Kikwete na woga wa kufanya uamuzi mgumu

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akifungua Bunge Maalumu la Katiba wiki iliyopita mjini Dodoma alisema kuwa asingependa kuona muundo wa Serikali tatu ukitokea wakati bado akiwa madarakani.

 

9 years ago

Mwananchi

Saa 144 za uamuzi wa kuchagua rais

Zimesalia saa 144 za kampeni ambazo wagombea wa vyama vyote vya siasa watazitumia kutupa karata zao za mwisho wakilenga kupata ushawishi wa mwishomwisho na hatimaye kunyakua ushindi.

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

10 years ago

KwanzaJamii

Uamuzi Mgumu, Rais Hataongeza Muda Bunge la Katiba

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania, John Cheyo akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, alipokuwa akitoa tamko kuhusu mchakato wa Katiba na Uchaguzi Mkuu wa 2015, mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi Na Daniel Mjema na Sharon Sauwa, Mwananchi Dodoma. Makubaliano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kutaka Bunge Maalumu lifikie ukomo Oktoba 4, mwaka huu yamezua sintofahamu mjini hapa huku uamuzi huo ukionekana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani