Vijana moro wachangamkia mradi wa Airtel Fursa wiki hii

Afisa Masoko wa kampuni ya simu mkoa wa Morogoro, Aminata Keita akizungumza jambo wakati wa mafunzo ya ujasiliamali ya airtel fursa kwa vijana yenye lengo la kuwapa elimu ya usajiliamali ili kujiendeleza kibiashara na kujikimu kiuchumu yakishirikisha vijana 250 wenye umri wa kuanzia 16 hadi 26 na kufanyika ukumbi wa Veta mkoani Morogoro.
Mkufunzi kutoka Veta kanda ya mashariki na kati, Marthin Mollel akitoa mafunzo ya ujasiliamali ya airtel fursa kwa vijana yenye lengo la kuwapa elimu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Airtel Fursa Yatumia zaidi ya milioni 3 kumpiga tafu mjasiliamali mwingine - Airtel Fursa wiki hii kuwafaidisha mamia ya vijana Mwanza


9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
11 years ago
Dewji Blog22 Sep
Mradi wa nyumba wa DEGE ECO- Village waanza, wananchi wachangamkia fursa
Mradi wa nyumba unaosimamiwa na kampuni ya Hifadhi inayoitwa Dege Eco-Village umeshiriki maonyesho ya nyumba yaliyofanyika jijini Dar es Salaam inategemea umeanza hivi karibuni.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo Bw. Azhar Malik wa Dege eco-Village alisema “Kwa sasa ujenzi unaendelea na karibu aina ya nyumba apartment 3000 zitakuwa tayari ifikapo Januari 2015.
Aliongezea kusema kwamba kupitia mradi huu waTanzania watanufaika kwa kupata...
9 years ago
MichuziAirtel yabadilisha maisha ya vijana na Airtel Fursa Tunakuwezesha
11 years ago
GPLAIRTEL KUBORESHA MITAMBO YA HUDUMA YA AIRTEL MONEY MWISHONI MWA WIKI HII
11 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZ.......:Airtel kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money mwishoni mwa wiki hii
Maboresho...
9 years ago
MichuziVIJANA WA IRINGA WAWEZESHWA NA AIRTEL FURSA
10 years ago
GPL
AIRTEL FURSA YAFIKIA VIJANA WA MTWARA
10 years ago
GPL
AIRTEL FURSA YAZIDI KUWAINUA VIJANA TANZANIA