VIJANA WA KIMASAI WAENDELEA KUDUMISHA MILA NA DESTURI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GXbxdrF9W5Y/U5_5DFhVEmI/AAAAAAAAj8I/QbTTstFMCg0/s72-c/masai+1.jpg)
Mgeni rasmi Mhe. Peter Toima Kiroya wa pili kushoto mkazi wa Manyara Wilayani Simanjiro ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma akiwaongoza vijana wa kimasai kundi la Korianga kuingia kwenye boma kwa ajili ya kushiriki sherehe ya unywaji wa maziwa ikiwa ni mojawapo ya hatua ya makuzi kwa vijana jana mkoani Manyara, wapili kulia ni Mke wa Mgeni rasmi Bi. Filomena Toima Kiroya.
Mgeni rasmi Mhe. Peter Toima ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mnafuta mila, desturi zetu, mnaziita za kizamani
11 years ago
Mwananchi08 Mar
SIKU YA WANAWAKE: Shida ya mwanamke ni mila na desturi -Dk Bisimba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t*ajD0I43hBC1V9c7KDPDAlS9sJfD0AcOjGcyuI2BZK9CiHFFeGWM4mZu5YAzYPIkbbYRnrgm5MzQbL-U92IiLL/chuchu.jpg?width=650)
CHUCHU AJIFUNZA MILA ZA KIMASAI, AAIBIKA!
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUDUMISHA AMANI
Na...
10 years ago
Habarileo06 Apr
Vijana wahimizwa kumcha Mungu kudumisha amani
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema Taifa lolote linalotaka kuwa na amani na utulivu lazima liwekeze katika kuhimiza vijana kumcha Mungu.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQXpu99Oc_o/Vd2mBtItNGI/AAAAAAAH0J8/nJdyX86TE04/s72-c/1.jpg)
VIJANA MTWARA WAENDELEA KUWEZESHWA KUPITIA AIRTEL FURSA
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQXpu99Oc_o/Vd2mBtItNGI/AAAAAAAH0J8/nJdyX86TE04/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-va3AyPxWlqI/Vd2mBh4xyYI/AAAAAAAH0J4/DWGF2W6pFMs/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Vijana waendelea kupata ajira katika Utumishi wa Umma
Katibu Msaidizi Idara ya Ajira kutoka Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Malimi Muya akiwaeleza waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam (hawapo pichani) sababu zinazopelekea Vijana wengi kupenda kufanya kazi katika Utumishi wa Umma ikiwemo uboreshaji wa mishahara,kuboreshwa kwa mazingira ya kazi,usalama wa kazi unaotokana na kuwepo kwa taratibu za kazi zinazotabirika ,kuwepo kwa taratibu maalum zinazomhakikishia mwajiriwa maslahi au malipo bora baada ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S642KsM6XOkvG3sqL5TOklbPd6H-le4QsVcxQoumw7Sdij3e7F6cmm*4D1l6YaL8j6M1RPTB7V9pMPFBYX2MELYoO9tkjUmv/1.jpg)
VIJANA MTWARA WAENDELEA KUWEZESHWA KUPITIA AIRTEL FURSA
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu