Vijana wanaofunga ndoa wapungua nchini
>Ugumu wa maisha unaozikabili familia nyingi nchini unaelezwa kusababisha athari nyingi kwa maendeleo ya jamii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Mfumuko wa bei wapungua nchini
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--XCHZQkdebo/VDVOUgX_Y4I/AAAAAAAGouo/-OQLKojKOjQ/s72-c/unnamed.jpg)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Septemba 2014 umepungua hadi kufikia asilimia 6.6 kutoka asilimia 6.7 iliyokuwepo mwezi Agosti kutokana na kupungua kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa bidhaa za vyakula zikiwemo mchele, mahindi, ulezi, matunda, Sukari na vinywaji baridi...
10 years ago
Habarileo30 Oct
Umasikini nchini wapungua zaidi
HALI ya umasikini nchini imepungua kutoka asilimia 34 hadi kufikia asilimia 28.2 ya Watanzania, ambao sasa ndio ambao wanaelezwa kuwa ni masikini zaidi, kutokana na kuishi chini ya Sh 1,216 fedha ambazo ndio uwezo wao katika kukidhi mahitaji yao ya msingi ya kila siku.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avr6*g5w-cFa3Ryd9bVlS2LCophqQugdiUXBhtPDX3F8BgVr*TiqOJ4jJr3QTiQKt7xAWXioWfjXXMi9qU*PSch-/NBS1.jpg)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Mlo unaofaa kwa wanaofunga
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K9hO7wVjFwk/VcNL4ePXoVI/AAAAAAAHuko/ZynudJvddmA/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
Vijana nchini watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JRAjNtc9ddI/VCAmgtfPoUI/AAAAAAAGk_4/djFywTB9NdU/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa