Vijembe vya JK
![](http://img.youtube.com/vi/4GJ7Bj6ADvU/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 May
WanaCCM wasikitikia vijembe vya bungeni
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema wanasikitishwa na tabia za viongozi wa CCM badala ya kujadili matatizo ya wananchi bungeni wanaanza kutupiana vijembe na wapinzani.
10 years ago
Habarileo14 May
Vijembe vya kisiasa vyatawala bungeni
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Vijembe vya Putin kwa mataifa ya Ulaya
Ametumia hotuba yake ya kila mwaka kwa taifa kushambulia mataifa ya Magharibi ambayo amesema yamekuwa na unafiki mkubwa juu ya hali ilivyo nchini Ukraine.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s72-c/lusinde.jpg)
Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s640/lusinde.jpg)
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Nikipita wananipiga vijembe
Nikipita wananipiga vijembePole kwa majukumu shangazi mkubwa. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 30.Â
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Matusi, vijembe, vyatawala Bunge
Bunge Maalumu la Katiba limeendelea kutawaliwa na vijembe na mipasho, huku baadhi ya wajumbe wakitambiana kujua misemo, mbinu na nahau na kuacha kujadili mambo ya msingi.
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Museveni ampiga vijembe Mbabazi
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameijibu video ya waziri mkuu na katibu mkuu wa zamani Amama Mbabazi ya kutangaza nia yake ya kuwania Urais.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JowvVr60fweb4fbmYdz6AIT-E809NHhZrdm-SOXfLFyV83CUdDXuUoJUqiEDpH5TKFBdXuWa7n56b46KZvepUPI/Lulu.gif?width=650)
LULU AMRUSHIA VIJEMBE HUSNA
Imelda Mtema STAA mdogo kwenye kiwanda cha filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameonekana kumrushia vijembe hasimu wake mkubwa mlimbwende Husna Maulid kwa kile alichodai kuwa anamuibia maelezo yake ya picha (caption) kwenye mtandao wake wa Instagram.  ....Soma zaidi====>http://goo.gl/LHQBq0
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Uchaguzi ni zaidi ya mafuriko na vijembe
Joto la Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 linazidi kupanda.
Zimebaki siku zisizozidi 31 ili kufikia siku hiyo kwa Watanzania kujua mustakabali wa kiuongozi wa nchi yao kwa miaka mitano ijayo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania