Vijiji 2 kumezwa ujenzi bwawa la Farkwa
VIJIJI viwili katika Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma vitaondolewa na kumezwa na maji ya bwawa la Farkwa ambalo litasambaza maji katika wilaya nne za Mkoa wa Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Ujenzi bwawa la Mahi wagharimu bil 1.4/-
SERIKALI imeeleza kuwa utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa bwawa la Mahi la Mahiga katika Jimbo la Kwimba umefikia asilimia 90 na sh bilioni 1.4 zimetumika. Kauli hiyo ilitolewa bungeni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZkqDdlPw_gs/VFM8Wsq1pnI/AAAAAAAGuUs/VYMfTF9N10g/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Profesa Mwandosya atembelea mradi wa ujenzi wa Bwawa Kuu la Ethiopia
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZkqDdlPw_gs/VFM8Wsq1pnI/AAAAAAAGuUs/VYMfTF9N10g/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
UNESCO bado kuridhia ujenzi bwawa la Stiegler’s Gorge kufua umeme
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limesema hakuna makubaliano yaliyofikiwa kati yake na mamlaka husika nchini Tanzania za kuwezeshwa kujengwa kwa bwawa la kufua umeme la Stiegler’s Gorge .
Ofisi za Shirika hilo zilizopo jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki wametoa taarifa ya kukanusha maelezo yaliyoandikwa na gazeti la The Guardian (ref:http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=72984) kwamba yapo maafikiano kuhusu ujenzi wa bwawa hilo.
Eneo la...
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi wa DAWASA yatembelea eneo la mradi wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.
Mkuu wa Msafara wa Timu ya Ulipaji fidia kwa Wakazi walio katika Eneo la Mradi Mhandisi John Kirecha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-17zDSY9su3Y/VALq644EpcI/AAAAAAAGXzM/jGvyFe9VIpg/s72-c/1.jpg)
BODI YA WAKURUNGENZI YA DAWASA YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-17zDSY9su3Y/VALq644EpcI/AAAAAAAGXzM/jGvyFe9VIpg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z0uPS6bT0ig/VALq81MuLtI/AAAAAAAGXzg/GGMazQUAD8E/s1600/2.jpg)
9 years ago
StarTV17 Dec
Wakazi wa vijiji vinne vya wilayani Ulanga wanufaika na Ujenzi Wa Barabara
Wakazi wa vijiji vya Kisewe, Mdundo, Nawenge na Lyandira wilayani Ulanga mkoani Morogoro wamenufaika na ujenzi wa barabara ulioanzishwa na shirika la utafiti wa madini wilayani humo Mahenge Natural Resources baada ya kutaabika kwa muda mrefu katika usafirishaji wa mazao yao wakiyabeba kichwani kupeleka sokoni.
Kukamilika kwa mradi huo wa barabara kutasaidia wakulima wengi kwenye vijiji hivyo kunufaika kiuchumi na kuongeza kipato zaidi kutokana na mazao yao kufika kiurahisi sokoni.
Ukitazama...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ERGhsT8YOWM/VX8vZxLPlQI/AAAAAAAARA8/e-1bC0VdmI4/s72-c/E86A9463%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA DARAJA KATIKA VIJIJI VYA SINGANA SUNGU WILAYA YA MOSHI VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERGhsT8YOWM/VX8vZxLPlQI/AAAAAAAARA8/e-1bC0VdmI4/s640/E86A9463%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VvawBxfgl3E/VX8vVcrDzJI/AAAAAAAARAg/5Stb3z2doco/s640/E86A9442%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KpjsoO1S4Oo/VX8vVPSw54I/AAAAAAAARAk/LgUx5VRuDvY/s640/E86A9440%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cFlCy7Qgih0/VX8vScyq5AI/AAAAAAAARAM/bwu0lhnqVig/s640/E86A9437%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvLuGfe*gDKzGkS8WV63zi63mPHP0ygdvsL6YQSLKA0ozti-Qa--5S5foeXaGNOdC9o1ZprSQfrqcTnN1NDiQIGq/d1.jpg?width=650)
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
![](https://2.bp.blogspot.com/-utueJlLvcrc/VAEFt9bWIqI/AAAAAAAAXXc/60Yejvxm-3s/s1600/Modesta%2BMushi.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dJAlQfjgYfw/VAEFtuoqMYI/AAAAAAAAXXY/p7ed-tfkWT8/s1600/Mhandishi%2BJohn%2BKirecha.jpg)