UNESCO bado kuridhia ujenzi bwawa la Stiegler’s Gorge kufua umeme
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limesema hakuna makubaliano yaliyofikiwa kati yake na mamlaka husika nchini Tanzania za kuwezeshwa kujengwa kwa bwawa la kufua umeme la Stiegler’s Gorge .
Ofisi za Shirika hilo zilizopo jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki wametoa taarifa ya kukanusha maelezo yaliyoandikwa na gazeti la The Guardian (ref:http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=72984) kwamba yapo maafikiano kuhusu ujenzi wa bwawa hilo.
Eneo la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--wzAJGzfH7E/XtecBIAWgCI/AAAAAAALseM/3v2D9q4VKtEg8-sGXBT2Hs8phtZqgz_YgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
UCHIMBAJI ENEO LA KINA CHA LANGO LA KUINGILIA MAJI KWENYE MITAMBO WAKAMILIKA KATIKA MRADI WA BWAWA LA KUFUA UMME LA MWALIMU NYERERE
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Msimamizi wa Ujenzi wa njia za maji pamoja na bwawa kwenye mradi huo Mhandisi Dismas Mbote amesema utekelezaji wa njia hiyo ulianza Mwezi Oktoba 2019 na kuongeza kazi ya uchimbaji wa lango imekamilika kwa kuchimbwa kina cha mita 53 ambapo hivi sasa kazi inayoendelea ni uondoaji...
10 years ago
Habarileo26 Aug
Msolwa kufua umeme wa maji
SHIRIKA la Kanisa Katoliki la Stig Martin Fathers, linajenga mradi wa kufua umeme wa maji katika Kijiji cha Msolwa Kata ya Kisanga wilayani Kilosa, utakaogharimu Sh bilioni 9 hadi utakapokamilika. Rais Jakaya Kikwete aliweka jiwe la msingi la mradi huo wa umeme, juzi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qveNqmYyYik/XoszFLx0HhI/AAAAAAALmL0/oxvbcQssv_ERn9rNZmKpISDpPrMlofJQgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B1.50.06%2BPM.jpeg)
WAZIRI KALEMANI AFANYA ZIARA MRADI WA KUFUA UMEME WA JULIUS NYERERE MW 2115
Aidha Dkt Kalemani amemtaka mkandarasi wa mradi huo kuhakikisha anakarabati barabara zote za nje na ndani ya mradi ambazo zinatumika kupitisha mizigo inayoenda kwenye mradi,sambamba na kumtaka mkandarasi huyo kumaliza kazi...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q33HuHd-AXQ/VLn6yCKSaHI/AAAAAAAG96Q/R1SzHzimPSY/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
PROFESA MWANDOSYA ATEMBELEA BWAWA LA KUZALISHA UMEME LA MEROWE, SUDAN
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFyLwnmq3hb-rWydysBqZUxmsvBFc8DUQJE15pxwFfndhmfeZGa3mgHOr5*i-cATX5rsgb7Airvtspy83HUK0L9Z/unnamed1.jpg?width=650)
PROFESA MWANDOSYA ATEMBELEA BWAWA LA KUZALISHA UMEME LA MEROWE, SUDAN
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Ujenzi bwawa la Mahi wagharimu bil 1.4/-
SERIKALI imeeleza kuwa utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa bwawa la Mahi la Mahiga katika Jimbo la Kwimba umefikia asilimia 90 na sh bilioni 1.4 zimetumika. Kauli hiyo ilitolewa bungeni...
10 years ago
Habarileo21 Sep
Vijiji 2 kumezwa ujenzi bwawa la Farkwa
VIJIJI viwili katika Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma vitaondolewa na kumezwa na maji ya bwawa la Farkwa ambalo litasambaza maji katika wilaya nne za Mkoa wa Dodoma.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZkqDdlPw_gs/VFM8Wsq1pnI/AAAAAAAGuUs/VYMfTF9N10g/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Profesa Mwandosya atembelea mradi wa ujenzi wa Bwawa Kuu la Ethiopia
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZkqDdlPw_gs/VFM8Wsq1pnI/AAAAAAAGuUs/VYMfTF9N10g/s1600/unnamed%2B(1).jpg)