Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VILIO,HUZUNI MAZIKO YA DEO FILIKUNJOMBE

Marehemu Deo Filikunjombe.

SAFARI ya aliyekuwa mbunge mahiri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe, hapa duniani, ilikamilika jana saa 10.30 jioni wakati mwili wake ulipozikwa kwenye makaburi ya Kanisa Katoliki mjini Ludewa, katika jimbo ambalo aliliongoza kwa ufanisi mkubwa kwa miaka mitano iliyopita.Vilio, huzuni, simanzi vilitawala wakati wa maziko ya mwanasiasa huyo kijana ambaye alizikwa pamoja na wenzake wawili wanaotajwa kwamba walikuwa watu wake wa karibu. Filikunjombe (43)...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Vilio, huzuni maziko ya Filikunjombe

SAFARI ya aliyekuwa mbunge mahiri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe, hapa duniani, ilikamilika jana saa 10.30 jioni wakati mwili wake ulipozikwa kwenye makaburi ya Kanisa Katoliki mjini Ludewa, katika jimbo ambalo aliliongoza kwa ufanisi mkubwa kwa miaka mitano iliyopita.

 

9 years ago

Dewji Blog

Deo Filikunjombe hatunaye tena!

DEO 1

Aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo Ludewa, Mh Deo Filikunjombe akiwapungia wafuasi wake enzi za uhai.

Aliyekuwa mgombea Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ), Mh Deo Filikunjombe amefariki dunia.

Mh Deo Filikunjombe amefikwa na umauti baada ya helkopta aliyokuwa amepanda kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea jimboni kwake kuanguka usiku wa kuamkia leo katika mbuga ya wanyama ya Selous.

Katika helkopta walikuwa watu wanne pamoja na rubani...

 

9 years ago

Raia Mwema

Deo Filikunjombe: Utiifu, Uzalendo na Ujasiri

"Naambiwa hukai jimboni, unazunguka majimbo mengine. Nataka ushinde tuendeleze kazi ya PAC".

Zitto Kabwe

 

10 years ago

Habarileo

Kafulila aoa, mpambe Deo Filikunjombe

Jessica Kishoa akimvisha pete ya ndoa Mbunge wa jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila katika ibada ya ndoa Kanisa Katoliki Parokia ya Uvinza mkoani Kigoma jana. (Picha na Fadhili Abdallah).MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameaga ukapera baada ya kufunga ndoa na Jessica Kishoa katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Uvinza, huku akisindikizwa na Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), aliyekuwa mpambe.

 

9 years ago

Habarileo

Filikunjombe vilio kila kona

MGOMBEA ubunge wa CCM katika Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Deo Filikunjombe amekufa katika ajali ya helikopta iliyotokea mkoani Morogoro juzi.

 

9 years ago

Dewji Blog

ERIC SHIGONGO: Nenda Kamanda wangu Deo Filikunjombe!

chopa

Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake.

Nakupenda Deo

Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka.

chopa 2

Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili.

Nasema kutoka ndani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani