VILIO,HUZUNI MAZIKO YA DEO FILIKUNJOMBE
Marehemu Deo Filikunjombe.
SAFARI ya aliyekuwa mbunge mahiri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe, hapa duniani, ilikamilika jana saa 10.30 jioni wakati mwili wake ulipozikwa kwenye makaburi ya Kanisa Katoliki mjini Ludewa, katika jimbo ambalo aliliongoza kwa ufanisi mkubwa kwa miaka mitano iliyopita.Vilio, huzuni, simanzi vilitawala wakati wa maziko ya mwanasiasa huyo kijana ambaye alizikwa pamoja na wenzake wawili wanaotajwa kwamba walikuwa watu wake wa karibu. Filikunjombe (43)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Oct
Vilio, huzuni maziko ya Filikunjombe
SAFARI ya aliyekuwa mbunge mahiri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe, hapa duniani, ilikamilika jana saa 10.30 jioni wakati mwili wake ulipozikwa kwenye makaburi ya Kanisa Katoliki mjini Ludewa, katika jimbo ambalo aliliongoza kwa ufanisi mkubwa kwa miaka mitano iliyopita.
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Deo Filikunjombe hatunaye tena!
Aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo Ludewa, Mh Deo Filikunjombe akiwapungia wafuasi wake enzi za uhai.
Aliyekuwa mgombea Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ), Mh Deo Filikunjombe amefariki dunia.
Mh Deo Filikunjombe amefikwa na umauti baada ya helkopta aliyokuwa amepanda kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea jimboni kwake kuanguka usiku wa kuamkia leo katika mbuga ya wanyama ya Selous.
Katika helkopta walikuwa watu wanne pamoja na rubani...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/AlluXhJUN1B42Ui3dU-N474HmY33XcaxxqFQE8gYTKzB.jpg?width=700)
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Deo Filikunjombe: Utiifu, Uzalendo na Ujasiri
"Naambiwa hukai jimboni, unazunguka majimbo mengine. Nataka ushinde tuendeleze kazi ya PAC".
Zitto Kabwe
10 years ago
Habarileo23 Nov
Kafulila aoa, mpambe Deo Filikunjombe
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameaga ukapera baada ya kufunga ndoa na Jessica Kishoa katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Uvinza, huku akisindikizwa na Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), aliyekuwa mpambe.
9 years ago
Habarileo17 Oct
Filikunjombe vilio kila kona
MGOMBEA ubunge wa CCM katika Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Deo Filikunjombe amekufa katika ajali ya helikopta iliyotokea mkoani Morogoro juzi.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/AlluXhJUN1B42Ui3dU-N474HmY33XcaxxqFQE8gYTKzB.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
ERIC SHIGONGO: Nenda Kamanda wangu Deo Filikunjombe!
Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake.
Nakupenda Deo
Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka.
Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili.
Nasema kutoka ndani...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PnErJrxlKsw/ViHIbuos2TI/AAAAAAAAh4I/4mpGh34OvCM/s72-c/IMG_20151017_065925.jpg)