Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi kujadili athari za joto duniani

Mazungumzo kuhusu Mabadiliko ya tabia nchi yanaanza rasmi asubuhi ya leo huko jijini Paris nchini ufaransa, wakuu wa nchi zaidi ya mia na hamsini wanatarajiwa kuhudhuria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DUNIA KUJADILI CHANGAMOTO NA ATHARI YA MADAWA YA KULEVYA

Bw. Sam Kutessa, Rais  wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.Na  Mwandishi Maalum, New York Jumuiya ya Kimataifa  inajiaanda  kwa  mkutano maalum na  wa aina yake kufanyika, ambapo  nchi wanachama watakutana  na  kujadiliana kwa kina kuhusu  changamoto na adhari kubwa  zitokanazo na  biashara haramu na matumizi ya dawa za kulevya.

 Mapema wiki iliyopita,    wajumbe wanaoziwakilisha nchi  zao  hapa  Umoja wa Mataifa, walikuwa na mkutano wa siku moja ambao ulikuwa ni sehemu ya maandalizi ya mkutano...

 

10 years ago

Vijimambo

DUNIA KUJADILI CHANGAMOTO NA ATHARI ZA DAWA ZA KULEVYA

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza wakati wa mkutano wa maandalizi wa mkutano maalum utakaofanyika mwakani kuhusu changamoto na athari zitokanazo na biashara haramu na matumizi ya dawa za kulevya. Tantizo ambalo imezikumba nchi karibu zote duniani ziwe tajiri au maskini.Sehemu ya washiriki wa Mkutano huo kuhusu dawa za kulevya uliofanyika mwishoni mwa wiki hapa Umoja wa Mataifa na kuwakutanisha wadau mbalimbali. katika mkutano...

 

9 years ago

BBCSwahili

Athari za hali ya ujoto duniani

Mamilioni ya watu watabaki katika hali ya umasikini ifikapo mwaka 2030, hadi hatua zitakapochukuliwa kuzuia hali ya ujoto duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

2014 ni mwaka wa joto kali duniani

Mwaka 2014 unatajwa kuwa na kiwango cha juu zaidi cha joto duniani tangu kumbukumbu zianze kutunzwa.

 

11 years ago

Michuzi

UFUNGUZI WA WARSHA YA WADAU KUJADILI TAARIFA YA TATHIMINI YA ATHARI ZA KIJAMII NA MAZINGIRA YA MRADI WA UJENZI WA BARABARA YA NGERENGERE HADI KIDUNDA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Said Mecky Sadiki akitoa maelezo machache kuhusu suala la upatikanaji wa maji Mkoani mwake, katika warsha iliyofanyika katika hoteli ya Nashera mjini Morogoro.  Mkuu wa Mkoa wa Pwani,  Mhe. Mwantumu Mahiza , akitoa salamu pamoja na umuhimu wa ushirikishwaji wadau mbalimbali katika kulinda mazingira na vyanzo vya maji. Kwa habari kamili BOFYA HAPA

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal afungua Kongamano la tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi katika Nchi za Afrika

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi katika Nchi za Afrika zinazopitiwa na bonde la ufa. Kongamano hilo limeanza jana Oktoba 29, 2014 katika Ukumbi wa AICC Jijini Arusha. (Picha na OMR). 3 Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais, Dkt Bilal, kufungua kongamano...

 

10 years ago

Michuzi

KISIWA CHA ZANZIBAR KUTOWEKA DUNIANI KUTOKANA NA ATHARI ZA TABIA NCHI-UTAFITI


mazingira 3Mchambuzi wa mambo ya mazingira katika ukanda wa bahari na mwandishi mwandamizi wa habari nchini Kenya, Wanjohi Kabukuru, akielezea jambokwa wandishi wa habari (hawapo pichani) katika warsha hiyo juu ya mazingira
Na Andrew Chale, Nairobi, KenyaWataalamu wa kichunguzi na wanasayansi wa Mazingira, wameelezea kuwa visiwa vilivyopo ndani ya bahari ya Hindi vinatarajiwa kutoweka duniani kutokana na mabadiriko ya tabia nchi inayoikumba dunia kwa sasa ikiwemo upungufu wa kimo cha bahari,...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt.Kijazi:Ongezeko la joto duniani,limesababisha mabadiliko ya hali ya hewa


Na Karama Kenyunko,Michuzi Globu.


Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Agnes Kijazi

KILA ifikapo Machi 23 kila mwaka,dunia mzima huadhimisha siku ya hali ya hewa duniani. Ni siku ambayo Mkataba wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) ulisainiwa mwaka 1950. Kwa kawaida siku hii huadhimishwa na kila nchi mwanachama wa shirika hilo.
 Taasisi za Hali ya Hewa, zikiwa ni Mamlaka zilizopewa jukumu la kutoa na kusimamia huduma za hali ya hewa katika nchi wanachama wa WMO,hutumia siku hii kuonesha na kueleza...

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri, ma-DC, viongozi wa Serikali matumbo joto

Hatima ya mawaziri na watendaji waliotajwa katika sakata la uchotwaji wa Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow itajulikana Jumatatu ijayo wakati Rais Jakaya Kikwete atakapohutubia taifa kupitia mazungumzo na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani