Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri, ma-DC, viongozi wa Serikali matumbo joto

Hatima ya mawaziri na watendaji waliotajwa katika sakata la uchotwaji wa Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow itajulikana Jumatatu ijayo wakati Rais Jakaya Kikwete atakapohutubia taifa kupitia mazungumzo na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri matumbo joto

Kamati ya Bunge ya kuchunguza athari za Operesheni Tokomeza Ujangili inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake leo, ambayo inaelezwa kuwa imependekeza kuchukuliwa kwa hatua dhidi ya vigogo kadhaa wa Serikali.

 

11 years ago

Michuzi

kuelekea mtanange wa Simba na Yanga, mashabiki milioni 20 matumbo joto

Mega sport.com
Hakuna takwimu sahihi za mashabiki wa klabu kongwe nchini za Simba na Yanga ni wangapi, lakini si chini ya watu milioni 20, akili zao zitasimama kwa takriban dk 90 na kupata kiwewe cha huzuni au furaha wakati miamba hiyo itakapovaana hapo kesho Taifa.
Joto la mechi hiyo tayari limepanda Zaidi ya nyuzi 90 huku kukiwa na hisia tofauti zikiwemo za udanganyifu wa wachezaji kuwa majeruhi ili kuteka akili za wapinzani.
Tayari kuna taarifa Yanga itawakosa wachezaji wake muhimu akiwemo...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIONGOZI WA SERIKALI WANAOTAKA KUGOMBEA UBUNGE WAKIDHANI WATAKUWA MAWAZIRI



Na Said Mwishehe, Michuzi TV

RAIS Dk.John Magufuli amepeleka salamu kwa baadhi ya viongozi wa kada mbalimbali wanaodhani wakiachana nafasi zao na kwenda kugombea ubunge wakishinda atawateuwa katika Baraza la Mawaziri wajue wanajidanganya.
Ameyasema hayo leo Juni 22,2020 Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta , Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi, Mkuu wa Wilaya ya Monduli Edward Balele ,Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa,Mkurugenzi wa Jiji...

 

11 years ago

Mwananchi

Baraza la Mawaziri Joto nyuzi 100

>Wakati Watanzania wakisubiri kwa hamu mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Rais Jakaya Kikwete amekuwa akikuna kichwa kupanga safu yake huku Ikulu ikiwataka wananchi kuwa watulivu katika kipindi hiki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Viongozi kujadili athari za joto duniani

Mazungumzo kuhusu Mabadiliko ya tabia nchi yanaanza rasmi asubuhi ya leo huko jijini Paris nchini ufaransa, wakuu wa nchi zaidi ya mia na hamsini wanatarajiwa kuhudhuria.

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI MBALIMBALI NA WAFANYAKAZI WAKIPIMWA VIPOMO VYA JOTO LA MWILI WANAPOINGIA IKULU ZANZIBAR.


WAZIRI Asiyekuwa na Wizara Maalum (MBM) Mhe Said Soud Said akipimwa joto la mwili kabla ya kuingia katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mapinduzi Kilichofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.25/11/2020. Anayefuata ni Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Maliasi Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Bi. Maryam Juma Sadala.(Picha na Ikulu)KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Bi. Radhia Haroub Rashid, akipimwa joto la...

 

11 years ago

Mwananchi

Joto uchaguzi Serikali za mitaa lapanda

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imetangaza ongezeko la idadi ya kata, vijiji, mitaa na vitongoji nchini vitakavyotumika kwa ajili ya uchaguzi serikali za mitaa, huku hatua hiyo ikiibua hoja miongoni mwa wanasiasa na wasomi.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wawajulia hali mawaziri Muhimbili Dar

Viongozi mbalimbali wa kitaifa jana walijitokeza kuwajulia hali, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya na Waziri wa Kazi na Utumishi wa Umma wa Zanzibar, Haroun Ali Suleiman, waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakipatiwa matibabu ya maradhi yasiyofahamika.

 

11 years ago

Michuzi

Serikali, UNDP, PATH wakubaliana njia bora ya kukabiliana na TB, Malaria na magonjwa kwenye nchi za joto

DSC_0773 Kaimu Mkurugenzi wa Kinga, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibayila, akifungua rasmi warsha ya mradi wa upatikanaji na utekelezaji wa pamoja kati ya Shirika la Maendeleo la Kimataifa (UNDP) na Shirika la Kimataifa lisilokuwa la Kiserikali (NGO) PATH kwenye sekta ya Afya katika utumiaji na uanzishwaji wa Teknolojia mpya katika kupamba na magonjwa ya TB, Malaria na magonjwa yaliyoachwa katika nchi za joto. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkazi, Oparesheni wa UNDP, Bw. Titus...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani