Baraza la Mawaziri Joto nyuzi 100
>Wakati Watanzania wakisubiri kwa hamu mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Rais Jakaya Kikwete amekuwa akikuna kichwa kupanga safu yake huku Ikulu ikiwataka wananchi kuwa watulivu katika kipindi hiki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Joto nyuzi 100
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Mtandao wa Act Alliance wataka nchi kuunga mkono mapambano ya kufikia nyuzi joto 1.5!!
Mmoja wa watu wanaohudhuria mkutano mkuu wa 21 wa mabadiliko ya tabianchi wa Umoja wa Mataifa COP 21 akipita huku akionyesha madaha ya kucheza kwenye zuria la kijani kuhamasisha upunguzaji wa joto Duiani. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog, Paris).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[PARIS] Mtandao wa kimataifa wa dhidi ya mambo ya mazingira wa Act Alliance umepaza sauti yao kwa kushinikiza mataifa ya dunia katika uungaji mkono mapambano ya kufikia nyuzi joto 1.5, ifikapo 2050.
Act...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mawaziri matumbo joto
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mawaziri, ma-DC, viongozi wa Serikali matumbo joto
10 years ago
GPL
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Baraza la Mawaziri Kenya, labadilishwa
11 years ago
Habarileo06 Jun
‘Acheni kudhalilisha Baraza la Mawaziri’
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk, Richard Sezibera ameasa wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuacha tabia ya kudhalilisha Baraza la Mawaziri.
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Kagame avunja Baraza la Mawaziri

Rais wa Rwanda, Paul Kagame
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amevunja baraza lake la mawaziri kwa kumuondoa aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Dk. Pierre Damien Habumuremyi na kumteua aliyekuwa Waziri wa Utumishi wa Umma wa nchi hiyo, Anastase Murekezi, kuchukua wadhifa huo.
Dk. Habumuremyi alikuwa Waziri Mkuu wa Ruwanda tangu Oktoba 7, mwaka 2011.
Murekezi amekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo tangu kumalizika vita vya mauaji ya kimbari mwaka 1994.
Waziri Mkuu wa kwanza alikuwa Faustin...
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Dk Magufuli akamilisha Baraza la Mawaziri