Mawaziri matumbo joto
Kamati ya Bunge ya kuchunguza athari za Operesheni Tokomeza Ujangili inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake leo, ambayo inaelezwa kuwa imependekeza kuchukuliwa kwa hatua dhidi ya vigogo kadhaa wa Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mawaziri, ma-DC, viongozi wa Serikali matumbo joto
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s72-c/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
kuelekea mtanange wa Simba na Yanga, mashabiki milioni 20 matumbo joto
![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s1600/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
Hakuna takwimu sahihi za mashabiki wa klabu kongwe nchini za Simba na Yanga ni wangapi, lakini si chini ya watu milioni 20, akili zao zitasimama kwa takriban dk 90 na kupata kiwewe cha huzuni au furaha wakati miamba hiyo itakapovaana hapo kesho Taifa.
Joto la mechi hiyo tayari limepanda Zaidi ya nyuzi 90 huku kukiwa na hisia tofauti zikiwemo za udanganyifu wa wachezaji kuwa majeruhi ili kuteka akili za wapinzani.
Tayari kuna taarifa Yanga itawakosa wachezaji wake muhimu akiwemo...
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Baraza la Mawaziri Joto nyuzi 100
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Kampala yakumbwa na homa ya matumbo
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Wakazi Babati na hofu magonjwa ya matumbo
HALI ya usafi katika maeneo kadhaa mjini Babati mkoani Manyara si ya kuridhisha kutokana na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na baadhi ya wakazi wake. Wakazi hawa hutupa takataka ovyo kwenye...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Polisi 8 matumbo moto kwa unyama
ASKARI Polisi saba wa kiume na mmoja wa kike, wanakabiliwa na tuhuma za kumtesa mahabusu mwanamke kwa kumvua nguo na kumwingizia chupa ya bia katika sehemu za siri.
10 years ago
Mtanzania19 Mar
Wanaume wabeba matumbo bandia kuonja uchungu wa kujifungua.
BAADA ya kuhangaika nayo tumboni kwa miezi tisa, hatimaye siku ya siku imefika kwa mtoto mtarajiwa kukaribia kuzaliwa.
Baada ya kero, adha, usumbufu na kila aina ya mahangaiko yanayotokana na ubebaji huo wa mimba, hiki ni kipindi kingine japo kifupi lakini kichungu zaidi ya hicho cha uleaji mimba.
Ni kipindi hiki kinachoonekana kuogopwa zaidi na wengi, kiasi kuwa wale, ambao hawajawahi kushika mimba unaweza kuwasikia wakijiuliza namna watakavyoweza kukihimili kutokana na simulizi za kweli au...
9 years ago
Bongo Movies04 Oct
Riyama Awaasa Wasanii Wanaotumika Kutetea Matumbo ya Wanasiasa, Wakati…
Habari wapendwa wangu Leo naomba kuongea na wewe MTANZANIA mwenzangu rafiki yangu unae Like na ku comment katika ukurasa wangu (kwenye mtandao wa Instagram) naamini wewe ndio balozi wangu utake nifikishia ujumbe wangu Kwa jamii inayo tuzunguka.
Ndugu zangu kupiga kura ni haki ya kila MTANZANIA hivo shime tujitokeze kwa wingi kwa wale umri unao tu ruhusu kupiga kura angalizo usikubali kushurutishwa na mtu wa aina yeyote yule kwa kumchagua kiongozi anae mtaka yeye kwa maslahi yake, bali...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)