DUNIA KUJADILI CHANGAMOTO NA ATHARI ZA DAWA ZA KULEVYA
Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza wakati wa mkutano wa maandalizi wa mkutano maalum utakaofanyika mwakani kuhusu changamoto na athari zitokanazo na biashara haramu na matumizi ya dawa za kulevya. Tantizo ambalo imezikumba nchi karibu zote duniani ziwe tajiri au maskini.
Sehemu ya washiriki wa Mkutano huo kuhusu dawa za kulevya uliofanyika mwishoni mwa wiki hapa Umoja wa Mataifa na kuwakutanisha wadau mbalimbali. katika mkutano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V3NU8-L32HU/VU_6TGYAq9I/AAAAAAAHWlM/ThkcfeY3nh4/s72-c/images.jpg)
DUNIA KUJADILI CHANGAMOTO NA ATHARI YA MADAWA YA KULEVYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-V3NU8-L32HU/VU_6TGYAq9I/AAAAAAAHWlM/ThkcfeY3nh4/s640/images.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Viongozi kujadili athari za joto duniani
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Wadau kujadili changamoto za elimu
WADAU wa elimu nchini wameandaa kongamano litakalojadili changamoto katika sekta ya elimu na jinsi gani ya kukabiliana nazo. Kongamano hilo litakalofanyika leo Ubungo Plaza, Dar es Salaam, litajumuisha walimu wa...
11 years ago
BBCSwahili17 Jan
Athari za dawa ya Saratani zamtuma kuua
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
semina ya kikanda ya athari na changamoto zitokakanazo na mabadiliko ya tabianchi yafanyika singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mfgKawKwHhk/VJMQsIAZtoI/AAAAAAAG4RA/9aaa7VJd-A8/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
11 years ago
BBCSwahili13 May
Athari za dawa ya meno kwa mbegu za uzazi