Viongozi mbalimbali waliowasili jana kwa ajili ya sherehe za Uapisho wa Rais Mteule
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (kushoto) akimpokea Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Zuma (anayeshuka kwenye ngazi), Rais Zuma amewasili nchini usiku wa kuamkia leo kwaajili ya kuudhuria sherehe za uapisho wa Rais Mteule Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli zinazofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Waziri Membe akisalimiana na Rais Zuma
Rais Zuma akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mhe. Radhia Msuya (wa kwanza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziViongozi wawasili nchini Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
11 years ago
MichuziVIONGOZI KUTOKA SEHEMU NCHI MBALIMBALI WAZIDI KUMIMINIKA KWA AJILI YA KUSHIRIKI SHEREHE ZA MUUNGANO
5 years ago
MichuziSAMIA KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QVCI14ON2o/Xun2S0DpRlI/AAAAAAALuN8/pARAbTTXRuIAwZUjLJ5EI9P29XHTwJiHQCLcBGAsYHQ/s640/01.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6k7qwmTfgWY/Xun2OVW3vAI/AAAAAAALuN4/4mvpZHjfeH82VqTFkup-AVo4SVS6OopJwCLcBGAsYHQ/s640/02.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq0tuLqF0QV2fPPuqw7Dgb0cvSKezXAyI2*W0QV5AEq21knrACBLU2Ekqhbsfqwne0Ics-xSqfuUjKVTIcUb2UHL/1.jpg?width=650)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA SHEREHE YA KUWEKWA WAKHFU ASKOFU MTEULE WA KANISA LA AFRICAN INLAND DAYOSISI YA MWANZA
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AHUDHURIA SHEREHE ZA KUSIMIKWA ASKOFU MKUU JIMBO LA DODOMA JANA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ys5PabB9MgI/XuS2A-r0FjI/AAAAAAACNKY/j3GEJ6WjTK8hNAhokKx1YwCpzXGihDipQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200613_135908.jpg)
RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA KWA SIMU NA RAIS MTEULE WA BURUNDI, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ys5PabB9MgI/XuS2A-r0FjI/AAAAAAACNKY/j3GEJ6WjTK8hNAhokKx1YwCpzXGihDipQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200613_135908.jpg)
Rais Dk. John Magufuli amezungumza kwa njia ya simu na Rais Mteule wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye na kumpongeza kwa uamuzi wa Mahakama ya Katiba nchini Burundi iliyoagiza Rais Mteule aapishwe haraka.
Katika mazungumzo hayo, Rais Magufuli amemtakia heri Rais Mteule Ndayishimiye kuelekea kuapishwa kwake kuwa Rais wa Burundi kutakakofanyika hivi karibuni.
Rais Magufuli amemhakikishia Rais Mteule Ndayishimiye kuwa Tanzania itaendeleza na kukuza...
9 years ago
Michuzi21 Dec
RAIS AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI IKULU
![maa1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maa1.jpg)
![maa2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maa2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s72-c/images%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s1600/images%2B(1).jpg)