‘Viongozi wa vyama acheni malumbano’
VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini, wametakiwa kuacha malumbano ndani ya vyama vyao hali inayoathiri jamii hususani taasisi za dini. Hayo yalisemwa jana na Kiongozi wa baraza la mashehe wilaya ya Arumeru, Haruna Husein wakati akizungumza katika kongamano la kuchangia fedha kwa ajili ya Radio Umoja FM lililofanyika mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Dec
'Vijana acheni utumwa wa vyama vya siasa'
VIJANA nchini wametakiwa kuachana na utumwa wa majina ya vyama vya siasa nakuanza kutafakari mustakabali wa Taifa. Aidha vijana na wazee kwa maslahi ya taifa wanatakiwa kuachana na siasa ya majitaka.
11 years ago
GPL10 years ago
Habarileo07 Oct
'Viongozi wa dini acheni siasa'
KAMANDA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Philemon Mollel amewataka viongozi wa madhehebu ya dini nchini kuacha kujiingiza kwenye masuala ya kisiasa badala yake wahubiri amani.
10 years ago
Habarileo30 Aug
JK- Viongozi acheni udalali wa ardhi
RAIS Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini, wakiwemo wa Halmashauri kuacha mara moja tabia ya kujigeuza kuwa madalali wa kuuza mapori ya ardhi, bali wazingatie suala la umuhimu wa kuweka akiba kwa ajili ya vizazi vijavyo.
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
TUCTA: Viongozi acheni uchu wa madaraka
VIONGOZI ndani ya serikali wa taasisi mbalimbali wametakiwa kuacha uchu wa madaraka, badala yake wajifunze kwa waasisi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Shirikisho la Vyama...
11 years ago
Habarileo11 Jul
'Viongozi wa dini acheni kugawa waumini'
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwezeshaji na Uwekezaji, Dk Merry Nagu ameasa viongozi wa dini zote nchini, kutowagawa waumini wao kwa misingi ya vyama vyao.
11 years ago
Habarileo14 Jul
'Viongozi CCM acheni kuwaza urais'
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar wametakiwa kuacha kuwaza kinyang’anyiro cha urais mwakani badala yake waelekeze nguvu zaidi katika kazi ya kutafuta wapiga kura wapya kuhakikisha chama hicho kinashinda uchaguzi mkuu ujao.
11 years ago
Habarileo04 Apr
Sumaye: Viongozi Afrika acheni utegemezi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa Afrika, kuacha tabia ya kutegemea nchi tajiri, kugharimia mipango ya maendeleo zao. Badala yake, ametaka viongozi wawe wabunifu wa kuandaa mipango ya kuondoka kwenye utegemezi uliokithiri.
10 years ago
Mwananchi02 Apr
‘Viongozi wa dini acheni kuwatembeza wanasiasa’