VIONGOZI WA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII BAADA YA KUPITA BAJETI YAO
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb.) na Mhe. Amina Makilagi (Mb) Katibu Mkuu wa UWT, Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto na Anna T. Maembe Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto wakipongezana baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo jumamosi iliyopita Bungeni Dodoma.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb.), Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) Naibu Waziri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jct6iT_3uMQ/U4T7Iq7FSCI/AAAAAAAFlrg/IQIKBb9VoeE/s72-c/unnamed.jpg)
Bajeti ya Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi ya wasilishwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-jct6iT_3uMQ/U4T7Iq7FSCI/AAAAAAAFlrg/IQIKBb9VoeE/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BP5cB-iL94Y/U4T7K2VYQTI/AAAAAAAFlro/VtxvEK8Vxgg/s1600/unnamed+(10).jpg)
11 years ago
MichuziWABUNGE WA BUNGE LA EA TOKA TANZANIA WAFUATILIA BAJETI YA WIZARA YAO BUNGENI DODOMA
11 years ago
MichuziBajeti ya Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi ilipojadiliwa Bungeni
10 years ago
Mwananchi25 May
UCHAMBUZI WA BAJETI: Shughuli za maendeleo 2015/16 kukwama Wizara ya Sheria
11 years ago
Dewji Blog25 May
Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki toka Tanzania wafuatilia Bajeti ya Wizara yao Bungeni Dodoma
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/613.jpg)
Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akisoma Bungeni hotuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa mwaka 2014/2015. Bajeti hiyo ilijadiliwa na kupitishwa na Bunge. Bajeti hiyo pia ilisikilizwa na Wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki waliokuwepo Bungeni siku hiyo.
Mbunge Shy-Rose Bhanji (kushoto) akiwa na wabunge wa Bunge la Muungano.
![FKB_1908](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/FKB_1908.jpg)
Shy-Rose Bhanji akizungumza na Mbunge Mwenzake wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere.
![FKB_1998](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/FKB_1998.jpg)
Mh. Bhanji ndani ya viwanja vya Bunge…
Wabunge...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII AKEMEA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IJ4aPt-HpNY/UwRfreF0EGI/AAAAAAAFN3k/a3fZWaDHSq4/s1600/Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+akizungumza+na+wataalamu+wa+wilaya+ya+Kalambo+Mkoa+wa+Rukwa+jana.+Kushoto+ni+Mkuu+wa+wilaya+Moshi+Chang'a+na+kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-839lJW_mepg/UwReWv0Sz9I/AAAAAAAFN3U/g2Lb40a-vPk/s1600/DC+wa+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akikabidhi+hundi+ya+shilingi+milioni+7+kwa+Kaimu+Mkurugenzi+wa+Halmashauri+ya+wilaya+hiyo+Herbert+Bilia.+Kulia+ni+Katibu+Mkuu+wazara+ya+Meanedeleo+ya+Jamii+aliyetoa+hundi+hiyo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L-m0e43rk-k/UwResIzVoPI/AAAAAAAFN3c/d_8jaUsUxOs/s1600/Mkuu+wa+wilaya+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akizungumza+wakati+wa+ziara+ya+Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+(katikati)+wilayani+humo+jana.+Kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ThEtVsC_7Dc/UwDDsje-PHI/AAAAAAAFNeA/zJucNER2kJ0/s72-c/unnamed.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii akutana na Watendaji wa Mkoa wa Katavi
![](http://2.bp.blogspot.com/-ThEtVsC_7Dc/UwDDsje-PHI/AAAAAAAFNeA/zJucNER2kJ0/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4a0fmmhHksk/UwDDyMSn1AI/AAAAAAAFNeQ/ywatVZeOuQw/s1600/Katibu+Mkuu+na+Ras+Katavi.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
10 years ago
MichuziWizara ya Maendeleo ya Jamii yaendesha mkutano na wadau kutoka Taasisi za Serikali na Binafsi
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10